>>https://www.amazon.com/dp/B00ZPWOA6I/ref=sxts_sxwds-puwylo_rv_1?pf_rd_m=ATVPDKIKX0DER&pf_rd_p=3534076942&pd_rd_wg=9KDN7&pf_rd_r=Y7KNJMPSC8HY097V6K45&pf_rd_s=desktop-sx-top-slot&pf_rd_t=301&pd_rd_i=B00ZPWOA6I&pd_rd_w=zixPC&pf_rd_i=pc+case&pd_rd_r=b2f63fef-18c9-4d3b-80c8-1de2155c77fd&ie=UTF8&qid=1523962805&sr=1<<
hadi inanifikiiia mkononi bei gani
Code:>>https://www.amazon.com/dp/B00ZPWOA6I/ref=sxts_sxwds-puwylo_rv_1?pf_rd_m=ATVPDKIKX0DER&pf_rd_p=3534076942&pd_rd_wg=9KDN7&pf_rd_r=Y7KNJMPSC8HY097V6K45&pf_rd_s=desktop-sx-top-slot&pf_rd_t=301&pd_rd_i=B00ZPWOA6I&pd_rd_w=zixPC&pf_rd_i=pc+case&pd_rd_r=b2f63fef-18c9-4d3b-80c8-1de2155c77fd&ie=UTF8&qid=1523962805&sr=1<<
KWAHYO NIKITOA HIYO INAMAAAANA ITATOSHA KUFANYA MALIPO USAFIRI KODI NA PESA YAKO.......ITABAKI MM TU KUJA KUCHUKUUUA
SHUKRAN NIMEIONA ASANTESahihi
Pia email yako nimejibu tayari.
Ku upload nashindwa mkuuItafute EBAY au AMAZON kisha nipatie link yake.
TZS 996,928 hadi kuifikisha Dar toka USASamsung Galaxy S8 64 GB TMobile Unlocked Used Midnight Black 887276201085 | eBay
Nipe bei mpaka ifike mikononi mwako
hii bei ya 996,928 ni pamoja na makato yote mi nakuja kwako kuchukua simu au bado kuna gharama zingine zitaongezekaTZS 996,928 hadi kuifikisha Dar toka USA
View attachment 747572
Kwa upande wangu hakuna ghalama nyingine yeyote utakayolipia.hii bei ya 996,928 ni pamoja na makato yote mi nakuja kwako kuchukua simu au bado kuna gharama zingine zitaongezeka
kwa uzoefu wako inaweza anzia ngapi kiasi cha juu na chiniKwa upande wangu hakuna ghalama nyingine yeyote utakayolipia.
Mzigo unapoingia nchini mamlaka husika yaweza kudai VAT - Na hii hujulikana baada ya mzigo kufika nchini.
Karibu
Ni vigumu kufahamua ghalama kamili utakayolipiaNaomba kujua itanigharimu kiasi gani hadi kunifikia.
5 in 1 Transfer Sublimation T-shirt Mug Hat Plate Cap Heat Press Machine | eBay
Asante kwa ufafanuzi.Ni vigumu kufahamua ghalama kamili utakayolipia
Sababu malipo yatakuwa kwa awamu Tatu.
Awamu ya kwanza ya malipo: Hii inafahamika, bei imewekwa, USD 198 - Ni ghalama ya manunuzi na kuusafirisha mzigo ndani ya USA
Awamu ya pili ya malipo: Ghalama ya usafirishaji Toka USA kuja Tanzania - Ghalama hii inatokana na uzito wa bidhaa, nimepitia link husika, Hakuna walipo andika uzito wa package ya mzigo.
Awamu ya tatu ya malipo: Hii ni ghalama ya KODI/ VAT baada ya mzigo kufika nchini - Mamlaka husika ndio hutupatia ghalama ya kulipia
Hivyo iwapo uko tayari kulipia kwa awamu hizo tatu, Nitakupa hesabu ya awamu ya kwanza ya malipo.
Karibu