Nunua gari achana na maswali yasiyo na msingi

Nunua gari achana na maswali yasiyo na msingi

Bill Lugano

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
1,189
Reaction score
6,450
Yaani hili huwa linanishtua sana. Mtu anataka kununua gari anauliza kama spares zinapatikana. Mimi sijawahi kuona gari imetengenezwa haina spares.

Unapotaka kununua gari usiangalie angalie nyuma. Unauliza bei tu unalipa maisha yanaendelea gari zote duniani zina spares. Wewe unayeuliza unywaji wa mafuta.

Kuna gari zinatumia umeme zipo. Kwa sasa options zipo mbili tu.gari za umeme au fuel/gas. Sasa unapohoji matumizi ya mafuta unataka iweje? Mimi nadhani ukitaka kununua gari angalia kama unaipenda.angalia pesa uliyonayo mfukoni kama inatosha nunua gari.

Hakuna gari ya miaka hii ambayo haina spares.suala la mafuta ndo gari imeundwa hivyo itumie mafuta.labda uulizie speed nk
 
Acha ujinga ww
Yaani hili huwa linanishtua sana. Mtu anataka kununua gari anauliza kama spares zinapatikana. Mimi sijawahi kuona gari imetengenezwa haina spares.

Unapotaka kununua gari usiangalie angalie nyuma. Unauliza bei tu unalipa maisha yanaendelea gari zote duniani zina spares. Wewe unayeuliza unywaji wa mafuta.

Kuna gari zinatumia umeme zipo. Kwa sasa options zipo mbili tu.gari za umeme au fuel/gas. Sasa unapohoji matumizi ya mafuta unataka iweje? Mimi nadhani ukitaka kununua gari angalia kama unaipenda.angalia pesa uliyonayo mfukoni kama inatosha nunua gari.

Hakuna gari ya miaka hii ambayo haina spares.suala la mafuta ndo gari imeundwa hivyo itumie mafuta.labda uulizie speed nk
 
bilashaka akaunti ya huyu bingwa imekuwa hacked[emoji6][emoji6][emoji6]

hii siyo aina ya nyuzi za huyu mtaalamu @kidukulilo na bwanyenye wa jukwaa la masuala ya magari kama tulivyokuzoea.

matumizi ya maneno 'nadhani unapaswa kuangalia kiasi cha pesa uliyonayo...'

labda wengine watie neno kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom