Changamoto2015
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 773
- 314
Nauza kifaa hiki chenye kusaidia kuongeza uwezo wa kusikia. Hii inatumika zadi kwa watu wenye uwezo hafifu wa kusikia.
Kifaa hiki kidogo ni chepesi sana ukivaapo sikioni, na unakuwa na uwezo wa ku adjust sauti kadiri utakavyo. Hivyo basi kama una ndugu au rafiki yeyote mwenye uwezo hafifu wa kusikia basi suluhisho limepatikana.
kifaa hiki kidogo kinakuja na betri zake mbili ( kama za saa) na kibox kidgo cha kuhifadhia ( hasa kwa wale wasiopenda kufaa kila sehemu). Angalia picha hapo chini:-




Sehemu nilipo ni Dar es Salaam.
Bei ni TZS 40,000 kwa kimoja. Wahi kabla havijakwisha kwani vimebaki vichache.
Sehemu nilipo ni Dar es Salaam.
E-mail: investa.tz@gmail.com
Kifaa hiki kidogo ni chepesi sana ukivaapo sikioni, na unakuwa na uwezo wa ku adjust sauti kadiri utakavyo. Hivyo basi kama una ndugu au rafiki yeyote mwenye uwezo hafifu wa kusikia basi suluhisho limepatikana.
kifaa hiki kidogo kinakuja na betri zake mbili ( kama za saa) na kibox kidgo cha kuhifadhia ( hasa kwa wale wasiopenda kufaa kila sehemu). Angalia picha hapo chini:-




Sehemu nilipo ni Dar es Salaam.
Bei ni TZS 40,000 kwa kimoja. Wahi kabla havijakwisha kwani vimebaki vichache.
Sehemu nilipo ni Dar es Salaam.
E-mail: investa.tz@gmail.com