NUNUA SHAMBA- hekari 60, mifugo, Nyumba nk.


Mchanganuo kwa bei ya soko

N'gombe 20 (aina gani?) mi nafikiti ni african zibu @ 400,000 = 8,000,000
Mbuzi 120 (aina gani?) @ 80,000 = 9,600,000
Kondoo 70 @ 70,000 = 4,900,000
Trekta moja (aina na umri gani?) @ 20,000,000 = 20,000,000
Nyumba 1 (ukubwa, hali yake, ubora wake??) hii ipo shambani itakua ni store @ 50,000,000 = 50,000,000
Shamba heka 60 kongowe (umbali na barabara kuu?) @ 2,000,000 = 120,000,000


jumla kuu ni TSHS 210, 500, 000! SASA DALALI UNATAKA UPIGE TSHS MILIONI 600,000,000? KWELI TUTAENDELEA KWELI WATZ HIZI? NUNUA MWENYEWE BANA
 
Ekelege wa TBS anatafuta plot nje ya dar kachoka kelele za skendo...mlandizi patamfaa kwa 'vijisenti' hivyo.
 
Ngoja niongee na huyu jamaa aliyeomba nimtangazie hii biashara kuhusu bei hii. Thanx for you contributions
 

peleka tangazo lako mahala husika
 
Nna Tsh 300,000/= hapa, ngoja nikaziweke DECI nikipanda baada ya miaka mitano, si ntakua na uwezo wa kulinunua,au...????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…