Nurdin Bilal ‘Sheta’, khaaaa...

Nurdin Bilal ‘Sheta’, khaaaa...

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Namsikiliza huyu dogo kupitia Star TV, Bongo Beats na Sauda Mwilima: Kama ilivyo kwa wasaniii wetu chipukizi, naona kijana anajigamba kwa mbwembwe kuwa anakaa gheto NHC Ilala Boma, siunajua tenaa, hana mke wala mchumba, hana shughuli yeyote maana, akiamika tu yeye anasikiliza muziki tupu,.... anasema,..kupika aaaaah, kupika sijui, nikiamka namtuma jamaa aniletee misosi ...

Khaaaa....inasikitisha sana vijana wetu katika dunia hii, ...ni fahari gani kijana kujivunia "eti kupika sijui!!...kufua sijui, nakula tu, kusikiliza muziki na kulala!!!!. Yaani hata kuendeleza vipato mnavyovipata kupitia usanii hamuwezi???, nini hatima yenu siku midomo ikiteguka na kupoteza umaarufu jukwaani?..
 
Kwa kijimbo kimoja tu na tena amebebwa na chorus ya bell9 ndio mbwembwe zote hizo?
 
tukuzeni chenu,ingekuwa anatajwa nani sijui huko majuu mngeshoboka hapa lakini sheta mnajifanya kuponda....
 
tukuzeni chenu,ingekuwa anatajwa nani sijui huko majuu mngeshoboka hapa lakini sheta mnajifanya kuponda....
Tunavipenda vyote ila kwa maisha ya mtanzania huwezi sema hujui kufua,kupika au kufanya usafi kwako unapolala sio kweli hata kama baba ako rostam aziz hata chupi yko utakuwa unafua au hata kuchemsha maji ya chai thus what we mean na sio hatuvipendi vyetu
 
Bora ungetueleza ya bi-kidude huyo ni nani???
 
tukuzeni chenu,ingekuwa anatajwa nani sijui huko majuu mngeshoboka hapa lakini sheta mnajifanya kuponda....

Kwa mujibu wa mtoa mada kama kweli kijana ndo kasema hivyo bac nampa pole coz hajui alicho kuwa akiongea.
 
Hata me nishangaa alichoongea huyo mwanamuziki,cjui ni udogo wa elimu au ulimbukeni?
 
Back
Top Bottom