Habari ni chuo kipi kinatoa coz ya mwaka mmoja nimesoma art form 4 na 6 nataka kutumia cheti cha form 4 nina three ya 25 ni d bios b engl na f maths form six nina three pia ya 13 nilimaliza form six 2008 d geog d history na e kiswahili
Nenda STATE COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES pale magomeni mapipa nyuma ya NEW BONDENI HOTEL utapata course unayotaka. Kwa maelezo zaidi ni PM namba yako ya whatsapp nikuforwadie tangazo lao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.