Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Ratiba ya hatua ya mechi za nusu fainali kombe la FA imetoka usiku ya kuamki leo
Katika ratiba hiyo Manchester United wamepangwa kukutana na Tottenham Hotspur. Chelsea wao wamepangiwa kucheza na Southampton
Mechi hizo zinatarajiwa kuchezwa April 21 na 22, 2018.-Fainali itachezwa Jumamosi ya Mei 19 katika uwanja wa Wembley
Manchester Utd wamefika hatua hiyo baada ya kuitoa Brighton kwa goli 2-0. Tottenham walishinda goli 3-0 dhidi ya Swasea City
Chelsea wameingia hatua hiyo baada ya kuifunga Leicester city 2-1. Huku Southampton walishinda 2-0 dhidi ya Wigan Athletics