fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Katika michuano ya drafti inayo endelea huko JAVA kitunda sasa ni hatua ya nusu fainali,
NDULI vs DOGO SISCO
DOGO YASINI vs DOGO ASUMANI
Ikumbukwe kua mshindi wa kwanza kujinyakulia laki mbili mshindi wa pili kujinyakulia laki moja na mshindi wa tatu elfu hamsini mechi zinaendelea ASANTENI SANA.
WADAU WA DRAFTI, Mechi ya fainali ndio imeanza kati ya nduli na dogo yasini NDULI Ni huyo mwenye flana NYEUSI DOGO YASINI ni huyo mwenye flana nyeupe, na wakati huo huo kuna mechi inapigwa kati ya DOGO SISCO na DOGO ASUMANI Hii ni mechi ya kumtafuta mshindi wa tatu. ASANTENI.
NDULI vs DOGO SISCO
DOGO YASINI vs DOGO ASUMANI
Ikumbukwe kua mshindi wa kwanza kujinyakulia laki mbili mshindi wa pili kujinyakulia laki moja na mshindi wa tatu elfu hamsini mechi zinaendelea ASANTENI SANA.
WADAU WA DRAFTI, Mechi ya fainali ndio imeanza kati ya nduli na dogo yasini NDULI Ni huyo mwenye flana NYEUSI DOGO YASINI ni huyo mwenye flana nyeupe, na wakati huo huo kuna mechi inapigwa kati ya DOGO SISCO na DOGO ASUMANI Hii ni mechi ya kumtafuta mshindi wa tatu. ASANTENI.