fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Lete kuku nikufundishe level za kina mangwelele!!!Duuh huu mchezo sikufanikiwa kuujua vizuri ila napenda sana kuujua.
Si ajabu hata kusukuma kete huwezi
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]Si ajabu hata kusukuma kete huwezi
Hao mnaowaita madogo ni madogo kweli au janja janja? Nataka mmoja wao anifundishe maana kuna kijiwe nacheza kila siku napigwa mimi tuWAPENZI WA DRAFTI, Michuano yetu ya kumtafuta mshindi atakaejinyakulia kiasi cha shiringi laki mbili na nusu imefikia tamati hatimae NDULI Ameibuka na ubingwa baada ya kumfunga dogo yasini goli la DHAHABU Michezo ya awali ilimalizika kwa kutoshana nguvu huku kila mmoja akiwa ameingia nyavuni kwa mwenzie mala mbili namaanisha kua katika michezo 14 ya kawaida pamoja na tege 10 NDULI na DOGO YASINI Walitoka sale ya mbili kwa mbili hivyo wakaingia katika kipengere cha goli la dhahabu ambapo iliwekwa sheria ya kufikilia mwisho sekunde 10 tu, katika kipengere hicho NDULI alifanikiwa kupata goli moja zidi ya mpinzani wake jumra ya matokeo yakasoma NDULI 3 vs DOGO YASINI 2 na hatimae nduli akatangazwa kua bingwa, katika mechi nyingine yakugombea nafasi ya 3 DOGO SISCO alimfunga mpinzani wake DOGO HASUMANI goli 3 kwa 0
ZAWADI KWA WASHINDI WETU,
Nafasi ya kwanza NDULI Sh. 250000
Nafasi ya pili DOGO YASINI Sh. 100000
Nafasi ya tatu DOGO SISCO Sh. 50000
Asanteni wote mliokua pamoja nasi katika kufuatiria mtanange huu. [emoji172][emoji172][emoji307][emoji172][emoji172]
Andika Kiswahili vizuri.WAPENZI WA DRAFTI, Michuano yetu ya kumtafuta mshindi atakaejinyakulia kiasi cha shiringi laki mbili na nusu imefikia tamati hatimae NDULI Ameibuka na ubingwa baada ya kumfunga dogo yasini goli la DHAHABU Michezo ya awali ilimalizika kwa kutoshana nguvu huku kila mmoja akiwa ameingia nyavuni kwa mwenzie mala mbili namaanisha kua katika michezo 14 ya kawaida pamoja na tege 10 NDULI na DOGO YASINI Walitoka sale ya mbili kwa mbili hivyo wakaingia katika kipengere cha goli la dhahabu ambapo iliwekwa sheria ya kufikilia mwisho sekunde 10 tu, katika kipengere hicho NDULI alifanikiwa kupata goli moja zidi ya mpinzani wake jumra ya matokeo yakasoma NDULI 3 vs DOGO YASINI 2 na hatimae nduli akatangazwa kua bingwa, katika mechi nyingine yakugombea nafasi ya 3 DOGO SISCO alimfunga mpinzani wake DOGO HASUMANI goli 3 kwa 0
ZAWADI KWA WASHINDI WETU,
Nafasi ya kwanza NDULI Sh. 250000
Nafasi ya pili DOGO YASINI Sh. 100000
Nafasi ya tatu DOGO SISCO Sh. 50000
Asanteni wote mliokua pamoja nasi katika kufuatiria mtanange huu. [emoji172][emoji172][emoji307][emoji172][emoji172]