Nusu Kaputi imechangia vifo 268 vya waliojifungua kwa upasuaji 2018/21

Nusu Kaputi imechangia vifo 268 vya waliojifungua kwa upasuaji 2018/21

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wizara ya Afya imetaja sababu nyingine iliyochangia idadi ya vifo vya Wanawake wanaojifungua kwa njia ya upasuaji ni pamoja na Kupoteza Damu wakati au baada ya Upasuaji, Damu Kuganda na Maambukizi ya Bakteria baada ya Upasuaji

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Wizara ya Afya ilifanya ufuatiliaji wa vifo kuanzia mwaka 2018 hadi 2021 na kubaini Dawa za Ganzi/Nusu Kaputi na Upasuaji wa Kumtoa Mtoto Tumboni vilichangia vifo 58 (3.3%) mwaka 2018, vifo 80 (4.8%) mwaka 2019, vifo 65 (4.0%) mwaka 2020, na vifo 65 (4.1%) mwaka 2021

Amesema Wizara kwa ushirikiano na Wataalamu wameanza kuwajengea uwezo Watumishi wa vituo vya Huduma za Afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Hospitali za Taifa kwenye eneo la utoaji wa Nusu Kaputi na Upasuaji.
 
Wizara ya Afya imetaja sababu nyingine iliyochangia idadi ya vifo vya Wanawake wanaojifungua kwa njia ya upasuaji ni pamoja na Kupoteza Damu wakati au baada ya Upasuaji, Damu Kuganda na Maambukizi ya Bakteria baada ya Upasuaji

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Wizara ya Afya ilifanya ufuatiliaji wa vifo kuanzia mwaka 2018 hadi 2021 na kubaini Dawa za Ganzi/Nusu Kaputi na Upasuaji wa Kumtoa Mtoto Tumboni vilichangia vifo 58 (3.3%) mwaka 2018, vifo 80 (4.8%) mwaka 2019, vifo 65 (4.0%) mwaka 2020, na vifo 65 (4.1%) mwaka 2021

Amesema Wizara kwa ushirikiano na Wataalamu wameanza kuwajengea uwezo Watumishi wa vituo vya Huduma za Afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Hospitali za Taifa kwenye eneo la utoaji wa Nusu Kaputi na Upasuaji.
Hizo operation za kuwatoa watoto tumboni zibakie tu kwa wanawake wasioweza kujifungua kwa njia kawaida, hii fasheni ya wanawake kuzikimbilia ovyo ni janga.
 
Wizara ya Afya imetaja sababu nyingine iliyochangia idadi ya vifo vya Wanawake wanaojifungua kwa njia ya upasuaji ni pamoja na Kupoteza Damu wakati au baada ya Upasuaji, Damu Kuganda na Maambukizi ya Bakteria baada ya Upasuaji

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Wizara ya Afya ilifanya ufuatiliaji wa vifo kuanzia mwaka 2018 hadi 2021 na kubaini Dawa za Ganzi/Nusu Kaputi na Upasuaji wa Kumtoa Mtoto Tumboni vilichangia vifo 58 (3.3%) mwaka 2018, vifo 80 (4.8%) mwaka 2019, vifo 65 (4.0%) mwaka 2020, na vifo 65 (4.1%) mwaka 2021

Amesema Wizara kwa ushirikiano na Wataalamu wameanza kuwajengea uwezo Watumishi wa vituo vya Huduma za Afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Hospitali za Taifa kwenye eneo la utoaji wa Nusu Kaputi na Upasuaji.
Wataalamu wanapokosa utaalamu! Nusu kaputi tu inawashinda, upasuaji mkubwa mtauweza?
 
Wizara ya Afya imetaja sababu nyingine iliyochangia idadi ya vifo vya Wanawake wanaojifungua kwa njia ya upasuaji ni pamoja na Kupoteza Damu wakati au baada ya Upasuaji, Damu Kuganda na Maambukizi ya Bakteria baada ya Upasuaji

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Wizara ya Afya ilifanya ufuatiliaji wa vifo kuanzia mwaka 2018 hadi 2021 na kubaini Dawa za Ganzi/Nusu Kaputi na Upasuaji wa Kumtoa Mtoto Tumboni vilichangia vifo 58 (3.3%) mwaka 2018, vifo 80 (4.8%) mwaka 2019, vifo 65 (4.0%) mwaka 2020, na vifo 65 (4.1%) mwaka 2021

Amesema Wizara kwa ushirikiano na Wataalamu wameanza kuwajengea uwezo Watumishi wa vituo vya Huduma za Afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Hospitali za Taifa kwenye eneo la utoaji wa Nusu Kaputi na Upasuaji.
Hakuna Zahanati Dispensary inayofanya Upasuaji!
 
Back
Top Bottom