Elections 2010 Nusu mwaka kabla ya Uchaguzi, Serikali yatangaza miradi mikubwa minne ya umeme !

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Bila shaka hii itakuwa sababu tosha ya kumrudisha Kikwete madarakani aweze kukamilisha kazi atakayokuwa ameshaianza.

Hizi gharama zanikumbusha zile za nyumba za Gavana wa Benki Kuu na wasaidizi wake - kumbe ! Yaani we wacha tu !
 
..........another channel to fill their pockets!!!!!
 
Hizo ni kampeni tu, kama wiki mbili zilizopita walitangaza kupitia ITV kwamba mradi wa mto Malagarasi hauwezi kuanza kwa sababu sehemu waliyokuwa wameichagua kwenye mtambo wa kufua umeme una vyura wasiopatikana sehemu nyingine yoyte ulimwenguni na hivyo mtambo ukijengwa hapo utaharibu mazingira. Wana Kigoma muwe macho na propaganda hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…