MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Wakati nchi ya Malawi ikiamua kuondoa majeshi yake nchini Congo, kwa mission ya SAMIRDC, ya nchi a SADC;
Na baada ya tangazo la M23, la kusitisha mapigano, mpaka sasa, mji wa Nyamibwe, tayari umeangukia mikononi mwa M23.
Mashambulizi yameanza mapema leo, na ndo yameacha mji huo uliopo kilomita chache kuelekea uwanja wa ndege wa Kavumu ukiwa mikononi mwa M23. Siku za nyuma, umoja wa mataifa na serikali waliondoa wafanyakazi wao mjini humo kuhofia usalama wao.
Akizingumzia tangazo la kusitisha mapigano la kundi la M23, waziri wa mambo ya nje Therese Kaikwamba Wagner, alisema hana imani na tangazo hilo, maana siku zote M23 imekuwa ikitangaza hivo na mapigano yakaendelea. Msemaji wa M23 alipotafutwa, amesema yuko bize hatoweza kuongelea jambo hilo.
Nyabibwe, ni mji uliopo km 70 kutoka Bukavu, na km 30 kutoka uwanja wa ndege wa Kavumu.
Source: businesslive.co.za, washingtonpost, abc news
Na baada ya tangazo la M23, la kusitisha mapigano, mpaka sasa, mji wa Nyamibwe, tayari umeangukia mikononi mwa M23.
Mashambulizi yameanza mapema leo, na ndo yameacha mji huo uliopo kilomita chache kuelekea uwanja wa ndege wa Kavumu ukiwa mikononi mwa M23. Siku za nyuma, umoja wa mataifa na serikali waliondoa wafanyakazi wao mjini humo kuhofia usalama wao.
Akizingumzia tangazo la kusitisha mapigano la kundi la M23, waziri wa mambo ya nje Therese Kaikwamba Wagner, alisema hana imani na tangazo hilo, maana siku zote M23 imekuwa ikitangaza hivo na mapigano yakaendelea. Msemaji wa M23 alipotafutwa, amesema yuko bize hatoweza kuongelea jambo hilo.
Nyabibwe, ni mji uliopo km 70 kutoka Bukavu, na km 30 kutoka uwanja wa ndege wa Kavumu.
Source: businesslive.co.za, washingtonpost, abc news