Brothers Karamazov
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 152
- 393
Nishatoka shambani Mkuu.Konyagi Fusion. Sema bado mapema mkuu usije ukaaribu kazi
Wanahangaika bure tu hawa. Wanatakiwa kustick kwenye konyagi halisi.Ni kama chai
sio tu juice ya ukwaju....mpaka azam embe juiceNapita hapa corner lounge makuburi,nmeona kuna kuna kijana anaskiliza ile nyimbo "baada ya kumaliza masomo nilipata kazi...wazazi wangu walinihusia jinsi ya kuishi na walimwengu"
Ana balance chemical equation ya nyagi na juice ya ukwaju.
kumbe konyagi unaweza kuchanganya na juice ya ukwaju na hamsemi?😀😀😀
Napita hapa corner lounge makuburi,nmeona kuna kuna kijana anaskiliza ile nyimbo "baada ya kumaliza masomo nilipata kazi...wazazi wangu walinihusia jinsi ya kuishi na walimwengu"
Ana balance chemical equation ya nyagi na juice ya ukwaju.
kumbe konyagi unaweza kuchanganya na juice ya ukwaju na hamsemi?
Hatunaga tabu na mtu sisi.Aloooooooooooo.
watu wa vyombo
Ni kama chai
Mkuu ni ipi faida ya vyomboHatunaga tabu na mtu sisi.
Starehe na Sehemu ya kupotezea muda.Mkuu ni ipi faida ya vyombo
Kabisa. Imebidi niachane nayo, nimechukua mzigo halisi.Haha mdau huyu hapa. Haina powerful kick kama og
Napita hapa corner lounge makuburi,nmeona kuna kuna kijana anaskiliza ile nyimbo "baada ya kumaliza masomo nilipata kazi...wazazi wangu walinihusia jinsi ya kuishi na walimwengu"
Ana balance chemical equation ya nyagi na juice ya ukwaju.
kumbe konyagi unaweza kuchanganya na juice ya ukwaju na hamsemi?
uh! We ni ke/me, ila we ni "ke", na kama we ni "me" basi utakua mpemba...Aloooooooooooo.
watu wa vyombo
We chukua kinachokuhusu mambo ya "ke" au "me" si ya kuzingatia sana hasa hapa jfuh! We ni ke/me, ila we ni "ke", na kama we ni "me" basi utakua mpemba...
notedWe chukua kinachokuhusu mambo ya "ke" au "me" si ya kuzingatia sana hasa hapa jf
Haina mkuu 😂Haha mdau huyu hapa. Haina powerful kick kama og