Nyakati gani ngumu uliwahi pitia ikakufanya ujute kuzaliwa? Share nasi

Nyakati gani ngumu uliwahi pitia ikakufanya ujute kuzaliwa? Share nasi

Mia saba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
255
Reaction score
390
Vijana tunaozaliwa wakwanza Huwa na Kama baba ukimwacha baba halisi.

Nikaamua kwenda kuzisaka pesa kwa ajili ya kuwatunza wazee wangu na Mimi binafsi.

Hapo ndipo nilipoona hela Ni ngumu mno kuishika. Nimefanya kazi ngumu ngumu za kuchosha sana mwili Ila ujira huna cha kuhifadhi ugonjwa uliponivamia sababu ya kimazingira nikabaki mwenyewe mwili dhaifu pesa sina msaada hakuna ila hali hio ilipitia japo nikikumbuka ni moja ya memory zilizonikomaza hata leo.

Share nasi kisa chako.
 
Dah! Kuna mdada nlikuwa namchukia sana. Malaya yeye, sura mbaya, futuka futuka yeye.

Nikahama Arusha kwa muda, nimerejea after miaka miwili kanipa lift ya GX.R kutoka Same to Arusha.

Yaan nikiwa ndani ya ile gari nlikuwa nataman kujinyonga, nlikuwa naona miti yote ni mifupi.

Tumefika Moshi kampitia mumewe ni handsome sjawai toka na mwanaume wa hivyo .

Najuta kuwatukana akina Mwamposa!
 
Dah! Kuna mdada nlikuwa namchukia sana. Malaya yeye, sura mbaya, futuka futuka yeye.

Nikahama Arusha kwa muda, nimerejea after miaka miwili kanipa lift ya GX.R kutoka Same to Arusha.

Yaan nikiwa ndani ya ile gari nlikuwa nataman kujinyonga, nlikuwa naona miti yote ni mifupi.

Tumefika Moshi kampitia mumewe ni handsome sjawai toka na mwanaume wa hivyo .

Najuta kuwatukana akina Mwamposa!
Wanaume siku hizi wanaangalia akili, anaoa sura mbaya mwenye akili ili azae vichwa.
 
Story yangu ni ndefu Sana ntaweka soon itakuwa ya kusisimua Sana niliyokutana nayo kwenye machimbo ya tanzanite mererani,uvuvi,mpaka Sasa nipo na maisha mengine kabisa namshkuru mungu amenitoa mbali[emoji120][emoji120][emoji120]story inakuja soon.
 
Mi mpaka saivi napigika ngoja nikishika chambi nita simulia
 
Story yangu ni ndefu Sana ntaweka soon.....itakuwa ya kusisimua Sana niliyokutana nayo kwenye machimbo ya tanzanite mererani,uvuvi,mpaka Sasa nipo na maisha mengine kabisa namshkuru mungu amenitoa mbali[emoji120][emoji120][emoji120]story inakuja soon
Utakuwa na swaga za inaendelea? Na jamaa wakivita chai utasusa kama Mpwayungu village?
 
Back
Top Bottom