Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Aliekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu,ameripotiwa kupinga Katiba inayopendekezwa.
Chanzo:Nipashe
Nachojiuliza hivi leo hii huyu bwana angekuwa waziri angetamka maneno haya?
Wanasiasa kuona ufalme wa Mungu ni vigumu kuliko Ngamia kupenye kwenye tundu la sindano.
Chanzo:Nipashe
Nachojiuliza hivi leo hii huyu bwana angekuwa waziri angetamka maneno haya?
Wanasiasa kuona ufalme wa Mungu ni vigumu kuliko Ngamia kupenye kwenye tundu la sindano.