Nyalandu apinga Katiba inayopendekezwa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Aliekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu,ameripotiwa kupinga Katiba inayopendekezwa.

Chanzo:Nipashe

Nachojiuliza hivi leo hii huyu bwana angekuwa waziri angetamka maneno haya?

Wanasiasa kuona ufalme wa Mungu ni vigumu kuliko Ngamia kupenye kwenye tundu la sindano.
 
Ameukosa ndiyo maana ameamua kuropoka.Alikuwepo kwenye mchakato mbona hakusema?
 
Nyalunda ni nani......?.....una hakika sisi tunamfahamu......?.....
 
hivi hajapata hata ujumbe wa nyumba kumi?
 
Nyalunda ni nani......?.....una hakika sisi tunamfahamu......?.....
Nadhani ni typing error mbona kwenye content ameonyesha vizuri ni nani?? Tatizo ukishapost huwezi ku-edit heading..! Maybe awaombe mods wasawazishe..
 
Huyo Nyalunda ndiyo naani? (kwa sauti ya joti)
 
Jangili kaibuka baada ya kukosa nyadhifa ya kudhoofisha utalii wetu, wataisoma namba eeee.
 
Sitaki kuamini kama hii ni kweli, gazeti la lini? mwenye nalo atuwekee hapa?
 
Akikusikia MSIGWA Umekwisha.....................
 
Nyalandu uchungu wa kukosa uwaziri wa maliasili na uwenyekiti wa kamati ya maliasili ndo kinachomsokotoa maana yeye na msigwa walikua lao moja kwenye dill la vitalu vya uwindishaji kule arusha
 
Atakua ana mrahisishia mtumbua majipu kazi ,yaani jipu lake sio kwamba tu limeiva bali linang'aa kama nyota
 
Ukiwa mtazamaji unaliona bao vizuri saaana.
 
Gazeti la nipashe linaripoti kwamba Lazaro Nyalandu anakuwa kada wa kwanza wa ccm kujitokeza hadharani kupinga mchakato wa katiba inayopendekezwa .

akielezea mchakato huo katika akaunti yake ya Tweeter , amesema rasimu mpya inahitaji marekebisho makubwa kabla ya kupelekwa kwa wananchi .

Ama kwa hakika ukishangaa ya Musa basi utayaona ya firauni .
 
Ukishatoka kundini ndo unaona mapungufu........poor Nyalandu
 
hata lowasa baada ya kuhamia chadema ndio akajua umuhimu wa katiba mpya hawa waliifurahia sababu wakati ule ilikuwa inawapendelea lakini baada ya kuwaa nje ya system ndio wanaona haifai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…