Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
habari ndiyo hiyo mkuu , Nyalandu ameamua kutubu , muda si mrefu utamsikia samuel naye akija na neno lake , " NILISHINIKIZWA "Sitaki kuamini kama hii ni kweli, gazeti la lini? mwenye nalo atuwekee hapa?
Picha halisi ya kura ya wazi wakati wa bunge la katiba. Wajumbe hawakuwa huru kutoa uamuzi wao. Hoja ya mwenyekiti ccm kuwashughulikia waliohujumu chama ni falsafa ile ile ya kumshangilia mfalme kavaa suti kumbe yuko uchi. Wapeni watu uhuru, utayajua ya moyoni mwao.Aliekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu,ameripotiwa kupinga Katiba inayopendekezwa.
Chanzo:Nipashe
Nachojiuliza hivi leo hii huyu bwana angekuwa waziri angetamka maneno haya?
Wanasiasa kuona ufalme wa Mungu ni vigumu kuliko Ngamia kupenye kwenye tundu la sindano.
Picha halisi ya kura ya wazi wakati wa bunge la katiba. Wajumbe hawakuwa huru kutoa uamuzi wao. Hoja ya mwenyekiti ccm kuwashughulikia waliohujumu chama ni falsafa ile ile ya kumshangilia mfalme kavaa suti kumbe yuko uchi. Wapeni watu uhuru, utayajua ya moyoni mwao.
Ukiwa ktk kundi LA Simba unakua Simba ukitoka unarudi kuwa mbwaAliekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu,ameripotiwa kupinga Katiba inayopendekezwa.
Chanzo:Nipashe
Nachojiuliza hivi leo hii huyu bwana angekuwa waziri angetamka maneno haya?
Wanasiasa kuona ufalme wa Mungu ni vigumu kuliko Ngamia kupenye kwenye tundu la sindano.
Wewe binti ni shida au nyalunda ndio naniiiii ......MMU wazima kuleNyalunda ni nani......?.....una hakika sisi tunamfahamu......?.....
Hivi wakati ule alipga kura ya kukataa au kukubali? Aache unafiki!Gazeti la nipashe linaripoti kwamba Lazaro Nyalandu anakuwa kada wa kwanza wa ccm kujitokeza hadharani kupinga mchakato wa katiba inayopendekezwa .
akielezea mchakato huo katika akaunti yake ya Tweeter , amesema rasimu mpya inahitaji marekebisho makubwa kabla ya kupelekwa kwa wananchi .
Ama kwa hakika ukishangaa ya Musa basi utayaona ya firauni .
Kweli AISEE. Na Makamu naye atasema: Nilipokuwa Naibu supika "Sikuwa naona wala kusikia vizuri"! Wajage tu watubu na kweli itawaweka huru!habari ndiyo hiyo mkuu , Nyalandu ameamua kutubu , muda si mrefu utamsikia samuel naye akija na neno lake , " NILISHINIKIZWA "
Leo hii amekuwa shujaa wa makamanda rasmi.Aliekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu,ameripotiwa kupinga Katiba inayopendekezwa.
Chanzo:Nipashe
Nachojiuliza hivi leo hii huyu bwana angekuwa waziri angetamka maneno haya?
Wanasiasa kuona ufalme wa Mungu ni vigumu kuliko Ngamia kupenye kwenye tundu la sindano.