Nyalandu awatimua wamachinga wa kigeni

Hamna kitu hapo. Anza na sera zinazolinda maslahi ya wabongo. Migodini, Mbugani wameajiriwa wengi wasio waswahili na hamna noma au kwa kuwa ni wachina ndo nongwaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…