Uchaguzi 2020 Nyalandu mgombea Singida Kaskazini, je amewahi kukwepa miale ya moto?

Uchaguzi 2020 Nyalandu mgombea Singida Kaskazini, je amewahi kukwepa miale ya moto?

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Kwa upande wangu siddhani kama kuna mtu ana fahamu vyema mengi ambayo Nyalandu aliyowahi kupitia akiwa mbunge chini ya CCM moja ya tukio baya ni lile la yeye kukoswa koswa ndani huko nyumbani Singida na kukutwa mama yake ndani. Hili la sasa kwa kugombea jimbo na mtu ambaye anamjua vema tabia yake Nyalandu hawezi kuwa fala hata kidogo. Anajua mbinu za kukwepa miale ya moto. Tumuachie Mungu ampe ulinzi.

Msisahau Pickup iliyoachwa getini kwake siku za nyuma, pamoja na kuwa hakutaka kuliongelea na alitumia hekima na kuombwa asilizungumzie basi tuishie hapo, tumesha mjua, tuna muelewa, na tuna mfahamu kuwa ana mbinu kali sana za utambuzi na ukwepaji.

Atakuwa mbunge wa Singida Kaskazini, andikeni tarehe ya leo huu ni utabiri binafsi. Na nyalandu endapo unasoma uzi huu na ukipata ubunge ni DM walau nikupongeze.
 
Anao wakati mgumu sana zamu hii.
 
Of course Nyalandu anaekwenda kushinda. I hope yule chinjachinja hajaacha kazi kule kwa wasiojulikana, kwa maana ubunge atausikia tu redioni.
 
Nilivyoona lile jina kwenye hilo jimbo Moyo ulishtuka. Tumwombe Mungu maana jamaa ni wakala wa ibilisi.

Nyalandu Mungu akusimamie.
Tunaenda kupata jimbo la pili la upinzani singida
 
Nilivyoona lile jina kwenye hilo jimbo Moyo ulishtuka. Tumwombe Mungu maana jamaa ni wakala wa ibilisi.

Nyalandu Mungu akusimamie.
Tunaenda kupata jimbo la pili la upinzani singida
Ana sifa zipi huyo mgombea pinzani wa Nyarandu ?
 
Back
Top Bottom