LGE2024 Nyalandu: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu umekuwa na muamko mkubwa

LGE2024 Nyalandu: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu umekuwa na muamko mkubwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Waziri wa Zamani wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu Amesema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwaka Huu Umekuwa na Mwamko Mkubwa Akisisitiza kuwa hiyo ni Ishara ya Kuimarika kwa Demokrasia Nchini.

Akizungumza katika Kituo cha Kupiga Kura Ilongero Nyalandu Amesema Amejionea Hali ya Utulivu na Amani Ikitawala katika Zoezi la Upigaji wa Kura.

PIA SOMA
- LGE2024 - Nyalandu: CCM ikiyumba Tanzania itadorora, Maendeleo ya kweli yataletwa na CCM
 
Back
Top Bottom