Watanzania tunasifika duniani kwa kupenda vitu vya kula kula na kunywa kazi HAPANA yaani ukitaka kujua wa TZ tunavyopenda hayo nenda kwenye vikao vya harusi watu wanavyolumbana kuhusu aina ya msosi na idadi na aina ya vinywaji Ukute hapo hata mwanae kakosa ada ya kwenda shule.