Nyama choma

Nyama choma

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Mtu mmoja alinunua nyama 1kg ili achomewe. Ilipoiva akasema ipimwe tena na ikawa 3/4. Akauliza 1/4 imeenda wapi, akajibiwa imeenda na moto.

Akauliza, kwa hivyo nikipima 1/4 ikichomwa sitapata kitu?

Hadi saai hawajamjibu... Ameenda tafutwa Meneja. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani dawa ni kununua iliotayarishwa kabisa,
Yaani unamwambia
'ebana naomba (nipatie) nyama iliochomwa 1kg'
 
Back
Top Bottom