Mtu mmoja alinunua nyama 1kg ili achomewe. Ilipoiva akasema ipimwe tena na ikawa 3/4. Akauliza 1/4 imeenda wapi, akajibiwa imeenda na moto.
Akauliza, kwa hivyo nikipima 1/4 ikichomwa sitapata kitu?
Hadi saai hawajamjibu... Ameenda tafutwa Meneja. [emoji23][emoji23][emoji23]