ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mdudu hapana me nasemea wanyama wenye nyama nyingi nyingi wenye ujazo.asa mdudu wanakuwaga wamekauka hata damu hawanaVipi mdudu unaweza kula mleta uzi
Namaanisha mdudu huyuMdudu hapana me nasemea wanyama wenye nyama nyingi nyingi wenye ujazo.asa mdudu wanakuwaga wamekauka hata damu hawana
Hii kitu natumia mkuu Tena Jana tu tumeishughulikia vya kutoshaNamaanisha mdudu huyuView attachment 906968
hajui tu huyu mtoa madanyama ya chura ni tamu aiseeeeeeeh
Ndio me sizungumzii nyama zetu hizi za Siri nazungumzia meatHivi unaongelea mnyama kabisa kabisa?
Mie mnyama ambaye naweza kumla japo mababu zetu walikuwa hawamtumii sana "P.E.N.I...." nailamba haswaaa
Chura Ana sumu mkuu utakufa ukimlahajui tu huyu mtoa mada
Ningekuwa nishafukiwa kitambo mkuu,Chura Ana sumu mkuu utakufa ukimla
Hongera sana uliongeza protein mwilini safi sana, hii sasa ndio nyama...ila ya chura jaribu aisee nenda kwenye Chinese restaurants jaribu ni nyama tamu sanaNyama yoyote ntakayokuta watu wa eneo husika wanakula bila kudhurika ntakula.
Unaposema nyama isiyoliwa unatumia vigezo vipi mkuu?
Hongera sana uliongeza protein mwilini safi sana, hii sasa ndio nyama...ila ya chura jaribu aisee nenda kwenye Chinese restaurants jaribu ni nyama tamu sana