nyama vs kuharisha

tricky

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
107
Reaction score
32
msaada..kila ninapokula nyama kwa wingi lazima tumbo livuruge..iwe ya ng'ombe,mbuzi ama kuku,bata lazima nitaharisha ila nikila kama vipande viwil ama vitatu siharishi...je nitakuwa na tatizo gani na njia ya kutibu hili tatizo ni lipi..karibuni.
 
Hujafafanua wingi wa namna gani? Inasemwa too much is harmful...!!

Kula kidogo tu kwa afya bana
 
msaada..kila ninapokula nyama kwa wingi lazima tumbo livuruge..iwe ya ng'ombe,mbuzi ama kuku,bata lazima nitaharisha ila nikila kama vipande viwil ama vitatu siharishi...je nitakuwa na tatizo gani na njia ya kutibu hili tatizo ni lipi..karibuni.

Unakula mpaka unavimbiwa lazime tumbo livurugike! Na ukila kidogo unasema halisumbui!..sasa wewe unataka ushauri gani na chanzo cha tatizo unakijua ni kula sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…