Nyama ya Mbuzi wa Kenya sio watamu kama wa Tanzania

Kenya na delicious food ndani ya sentence 1? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hawajui kupika chochote zaidi ya kande wenyewe wanaita githeri
 
Sasa ulitarajia mbuzi wanaokula mirungi a.k.a Miraa wawe watamu? Haya majani yana laana hata minaadamu akiyatafuna afya yake ya mwili inadhoofu na ya akili inaharibika sembuse mbuzi?
 
Mbuzi za Kenya hadi ziko na group ya wasap za kusengenya Mbuzi za kayole na kibera kuwa ni Mbuzi chokoraa Mbuzi za wameru zingine ni kingpin zinamiriki hadi shamba za miraaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…