Nyama za mguu kuuma na kuvimba, msaada tafadhali

ushanka

Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
14
Reaction score
2
Naomba msaada wenu tafadhali,nyama za mguu zinaniuma had nashindwa kutembea.ni upande wa nyuma kutoka kwenye goti had kwenye unyayo.tafaaaaaadhali nisaidien tatizo ni nin?
 
Je, unakula nyama nyekundu na maharage kwa wingi? Kama ndiyo basi punguza !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…