yotekwayote New Member Joined Mar 1, 2016 Posts 3 Reaction score 0 Mar 2, 2016 #1 Wadau naomba kujua Kuhusu daktari bingwa yeyote wa ENTs katika hospital yeyote mkoa wa Mbeya pua zinabana hadi maranyingine nashindwa kupumua swala hili limeathiri sana utendaji wangu wa kazi.... Ushauri na maoni nitafurahi sana
Wadau naomba kujua Kuhusu daktari bingwa yeyote wa ENTs katika hospital yeyote mkoa wa Mbeya pua zinabana hadi maranyingine nashindwa kupumua swala hili limeathiri sana utendaji wangu wa kazi.... Ushauri na maoni nitafurahi sana
M mangatara JF-Expert Member Joined Jul 6, 2012 Posts 14,517 Reaction score 14,148 Mar 2, 2016 #2 Nenda kwenye maombi, nimeona wengi wakiponywa
yotekwayote New Member Joined Mar 1, 2016 Posts 3 Reaction score 0 Mar 3, 2016 Thread starter #3 mangatara Asante na ninashukuru kwa ushauri wako mzuri sana....