MchunguZI JF-Expert Member Joined Jun 14, 2008 Posts 4,011 Reaction score 2,185 Nov 1, 2010 #1 Wananchi wamechoka kusubiri matokeo na sasa wanaanza kutumia nguvu kuingia ndani ya chumba walikojifungia maafisa uchaguzi. Matokeo ya majimbo mawili yanasubiliwa toka jengo moja chini ya mkurugenzi mmoja wa jiji la Mwanza.
Wananchi wamechoka kusubiri matokeo na sasa wanaanza kutumia nguvu kuingia ndani ya chumba walikojifungia maafisa uchaguzi. Matokeo ya majimbo mawili yanasubiliwa toka jengo moja chini ya mkurugenzi mmoja wa jiji la Mwanza.
Magulumangu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2010 Posts 3,051 Reaction score 461 Nov 1, 2010 #2 wanajaribu kuchakachua nn hao MWanza? Najua Masha amegalagazwa....
D dotto JF-Expert Member Joined Sep 29, 2010 Posts 1,725 Reaction score 256 Nov 1, 2010 #3 hilo ndo jibu.Na wasijaribu kufanya chochote maana pale wamejaa washashi tupu sio wasukuma. CCm imeshashindwa.
hilo ndo jibu.Na wasijaribu kufanya chochote maana pale wamejaa washashi tupu sio wasukuma. CCm imeshashindwa.
V Vitus mkumbee Member Joined Nov 1, 2010 Posts 22 Reaction score 1 Nov 1, 2010 #4 Ndio hat mm naona wanataka kuiba
K Kenge (Eng) JF-Expert Member Joined Dec 7, 2006 Posts 543 Reaction score 160 Nov 1, 2010 #5 Kumbuka ule waraka tulioonyeshwa hapa jf.
G giraffe JF-Expert Member Joined Jun 6, 2010 Posts 630 Reaction score 257 Nov 1, 2010 #6 Vipi wana jf wamechakachua mtandao wetu.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Nov 1, 2010 #7 Wanataka kuchakachua matokeo, na wasipokuwa makini hao viongozi wanaochelewesha matokeo ndio watasababisha umwagaji damu.
Wanataka kuchakachua matokeo, na wasipokuwa makini hao viongozi wanaochelewesha matokeo ndio watasababisha umwagaji damu.
Edson JF-Expert Member Joined Mar 7, 2009 Posts 9,933 Reaction score 5,394 Nov 1, 2010 #8 leo ni leo sawa sawa
Chimunguru JF-Expert Member Joined May 3, 2009 Posts 10,678 Reaction score 4,370 Nov 1, 2010 #9 ccm tafadhari msiharibu ushindi wetu,chochote tunaweza fanya msituletee longolongo historia itawahuku u
ccm tafadhari msiharibu ushindi wetu,chochote tunaweza fanya msituletee longolongo historia itawahuku u
Aza JF-Expert Member Joined Feb 23, 2010 Posts 1,700 Reaction score 230 Nov 1, 2010 #10 yani mwanza noumah!!!
YeshuaHaMelech JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 2,596 Reaction score 37 Nov 1, 2010 #11 kwani tatizo ni nini? Au wanafanya tathmini ya urais? Mi ninahisi wanachelewesha matokeo kwa kuangalia matokeo ya urais. Wajue waaazi Mungu yupo na hatakaa kimya watu wake tudhulumiwe
kwani tatizo ni nini? Au wanafanya tathmini ya urais? Mi ninahisi wanachelewesha matokeo kwa kuangalia matokeo ya urais. Wajue waaazi Mungu yupo na hatakaa kimya watu wake tudhulumiwe