Elections 2010 Nyamagana na Ilemela ni Vurugu

MchunguZI

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2008
Posts
4,011
Reaction score
2,185
Wananchi wamechoka kusubiri matokeo na sasa wanaanza kutumia nguvu kuingia ndani ya chumba walikojifungia maafisa uchaguzi.

Matokeo ya majimbo mawili yanasubiliwa toka jengo moja chini ya mkurugenzi mmoja wa jiji la Mwanza.
 
wanajaribu kuchakachua nn hao MWanza? Najua Masha amegalagazwa....
 
hilo ndo jibu.Na wasijaribu kufanya chochote maana pale wamejaa washashi tupu sio wasukuma. CCm imeshashindwa.
 
Wanataka kuchakachua matokeo, na wasipokuwa makini hao viongozi wanaochelewesha matokeo ndio watasababisha umwagaji damu.
 
ccm tafadhari msiharibu ushindi wetu,chochote tunaweza fanya msituletee longolongo
historia itawahuku
u
 
kwani tatizo ni nini?
Au wanafanya tathmini ya urais? Mi ninahisi wanachelewesha matokeo kwa kuangalia matokeo ya urais. Wajue waaazi Mungu yupo na hatakaa kimya watu wake tudhulumiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…