Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Google tuoneUmeanza dharau zako dogoππ
Taja mahali ulipo wewe mjinga MUNGU anakuonaAcha dharau dogo
Luca aanakuwaje UWT? π Au mimi ndio nimesahau mifumo. Ila Kama yupo UWT basi kwake lolote linawezekanaYupo UWT Chunya
Ni PS wa UWT Chunya, siku ukienda Mbeya pitia Chunya ofisi za UWT umsalimie ni mtu mkarimu sn ukimkuta ofisini kwakeLuca aanakuwaje UWT? π Au mimi ndio nimesahau mifumo. Ila Kama yupo UWT basi kwake lolote linawezekana
Hili sikulitegemea kabisaπππNi PS wa UWT Chunya, siku ukienda Mbeya pitia Chunya ofisi za UWT umsalimie ni mtu mkarimu sn ukimkuta ofisini kwake
Pole, mi nikipita mikoa hiyo huwa nampitia ofisini kwake kumpa hi ni mtu ambaye tunafahamiana kitambo kdg kipindi tukiwa chipukizi kabla sijamkataa shetani(CCM) na kazi zakeHili sikulitegemea kabisaπππ
Sasa Lucas anakuwaje PS tena wa UWT?? π€£ π€£Pole, mi nikipita mikoa hiyo huwa nampitia ofisini kwake kumpa hi ni mtu ambaye tunafahamiana kitambo kdg kipindi tukiwa chipukizi kabla sijamkataa shetani(CCM) na kazi zake
Hilo ni jina la kusomea tu kama ilivyo Zawadi/Bahati n.k, jina lake halisi ni Magdalena MwakyembeSasa Lucas anakuwaje PS tena wa UWT?? π€£ π€£
Hv nafasi hiyo ya WHO ni zamu ya Tanzania au kuna ushindani na nchi nyingine za Afrika na ulimwengu kwa ujumla wake.Na kama nafasi hiyo ikirudi tena Tanzania basi itakuwa ni zamu yetu tu hakuna namna,lkn kama sivyo basi hapo ni sawa sawa na kubeti tu.Ni maoni yangu lakini simjui hanijui na hatujuani ila angefaa zaidi ya Prof.Janabi ππ
View: https://x.com/NyamburaMoremi/status/1867163670540935410?t=f9-uaHTNn67o-hCXB9rYIA&s=19
Pia soma Dkt. Nyambura Moremi ateuliwa tena kuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa. Aliondolewa baada ya sampuli za mimea kukutwa na UVIKO-19
UshindaniHv nafasi hiyo ya WHO ni zamu ya Tanzania au kuna ushindani na nchi nyingine za Afrika na ulimwengu kwa ujumla wake.Na kama nafasi hiyo ikirudi tena Tanzania basi itakuwa ni zamu yetu tu hakuna namna,lkn kama sivyo basi hapo ni sawa sawa na kubeti tu.