Nyamhanga na Metu, majambazi waliotikisa jiji la Mwanza baada ya vita vya Kagera. Hivi bado wapo hai?

Nyamhanga na Metu, majambazi waliotikisa jiji la Mwanza baada ya vita vya Kagera. Hivi bado wapo hai?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Baada ya ya vita vya Kagera siraha zilitapakaa sana mkoani Mwanza na kanda ya ziwa.

Majambazi wakubwa waliotikisa jiji la Mwanza miaka ya 19805-1988 ni Methu na Nyamhanga. Hivi hawa watu bado wapo?

Nyamhanga kwao ilikuwa milima ya Nyashana. Methu alikiwa akiishi maeneo ya Mkudi.

Siku moja wakaji Methu anakamatwa mbwa ya polisi ilivunja mti wa mpapai ambao ilikuwa imefungwa, hii ni baafa ya kunusa bundukiniliyokuwa ndani ya nyumba yao Methu.

Miaka ya 1980 baada ya vita ya Kagera Mwanza haukuwa mji salama kabisa.
 
Kanda ya ziwa wababe wanao aminiwa huko ni waoga tu ukizinguana nae anakimbia unajua kaondoka kumbe kaenda nyumbani kuchukua panga Yan washamba ndo wanajidai wahuni huko sasa kama mwanaume kweli kwann ukimbilie silaha.

Itakua wameshakufa hao nchi hii ukiwa na scandal ya ujambazi wa kutumia bunduki huwez kuishi tena kwa miaka hii labda uwe uliokoka tangu miaka ya 2001
 
Kanda ya ziwa wababe wanao aminiwa huko ni waoga tu ukizinguana nae anakimbia unajua kaondoka kumbe kaenda nyumbani kuchukua panga Yan washamba ndo wanajidai wahuni huko sasa kama mwanaume kweli kwann ukimbilie silaha.

Itakua wameshakufa hao nchi hii ukiwa na scandal ya ujambazi wa kutumia bunduki huwez kuishi tena kwa miaka hii labda uwe uliokoka tangu miaka ya 2001
Fact
 
Back
Top Bottom