Pre GE2025 Nyamongo: CHADEMA yahitimisha Oparesheni yake kwa Kishindo

Pre GE2025 Nyamongo: CHADEMA yahitimisha Oparesheni yake kwa Kishindo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kama tulivyosema awali ni kwamba, leo ilikuwa siku ya kumaliza matanga Nyamongo, Baada ya Shughulili ya "Kuizika ccm" Tarime.

Ushahidi huu hapa

Screenshot_2024-07-07-18-06-08-1.png
Screenshot_2024-07-07-18-06-59-1.png
Screenshot_2024-07-07-18-06-17-1.png


Mtu akithubutu kuwapora ushindi watu hawa anatafuta Matatizo.
 
Wanasiasa wote majizi mafara tu, iwe sisiemu, Chadem, act n.k wote majizi wachumia tumbo mbwa hao
 
Ni asilimia moja tu ya kauli za mwasiasa zinaaminika
 
Huyu mwamba Heche kila akifanya mikutano kwenye Jimbo la Tarime, mbunge aliyepo lazima aitishe press na kuanza kulia. Kwahiyo tusubiri kuona michozi ya Mwita Waitara.
 
Mtu akithubutu kuwapora ushindi watu hawa anatafuta Matatizo.
Nakuomba umsome vizuri Masauni, umwelewe vizuri.
Mkuu 'Erythro', hivi kwa nini siku hizi hatuelewani vizuri? Nadhani umekuwa na maneno mengi zaidi kiasi kwamba unaanza kupoteza umakini bila kujitambua mwenyewe.
Masauni anahimiza wajumbe wake huko mitaani, wa nyumba kumi wafanye kazi yao, wewe hapa unatazama tu umati wa watu ambao hawakupewa mkakati wowote halafu unapandwa mori kichwani!

hawa watu wanahitaji maelekezo, elimu ya kuzuia kura zao zisiharibiwe. Kuja kwao hapa ni kutafuta njia hizo, lakini hasahasa huko wanakotokea mitaani kwao.

Masauni anakwambia, yeye ndiye mmilki wa "mapolisi", kama alivyo wataja mwenyewe na anawajaza upepo machawa (akina Lucas) wawadhibiti nyinyi huku mitandaoni!

Kama watu wanaojielewa, kama msomi Kibatala nao wanaanza kulia kwa kushindwa kujuwa wafanye nini kutokana na jinsi CCM ilivyotanda na kuziba kila sehemu...; halafu CHADEMA isiweze kuona hali hii ngumu na kujitahidi kutafuta njia za kupambana nayo, waTanzania wapeleke wapi matumaini yao sasa?

Wasubiri muujiza wa Gen Z hapa kunyanyuka kama uyoga, bila ya maandalizi yoyote? Mbona hawa Gen Z ya hapa nao ni mateka wa CCM kama sisi wengine wote? Chawa huwaoni wametanda kila mahali?
 
Tutashiriki uchaguzi 2025?

Tumekubaliana uchaguzi utakuwa huru na haki?
Tume ya uchaguzi tumekubaliana itakuwa huru?
Katiba mpya imeshapatikana?
 
Tutashiriki uchaguzi 2025?

Tumekubaliana uchaguzi utakuwa huru na haki?
Tume ya uchaguzi tumekubaliana itakuwa huru?
Katiba mpya imeshapatikana?
Mlifinya yote hayo ili CDM wasuse wawaachie nyani mle shamba la mahindi.... mbele kwa mbele jino kwa jino. Kaa chini endelea kula dagaa lako huku mkidinyana usubirie katiba mpya na tume ya uchaguzi kwenye sinia.
 
Tarime sio Hawa machawa wa kipumbavu! Wanajielewa! Tungekuwa na mikoa 15 wanajielewa kama Hawa chama cha mafisadi wanaofilisi nchi hii ni kuzimu kama KANU!
15 mingi sana ingekuwa mitatu tu
 
Back
Top Bottom