DOKEZO Nyamongo Kuna Shida gani na Wawekezaji wa Mgodi wa North Mara Kiasi kwamba Vurugu Zinazokatisha Maisha ya Watu Hazikomi?

DOKEZO Nyamongo Kuna Shida gani na Wawekezaji wa Mgodi wa North Mara Kiasi kwamba Vurugu Zinazokatisha Maisha ya Watu Hazikomi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Serikali pamoja na watu wa Nyamongo njoo I hapa mtueleze shida ni ni ipi kati yenu na wawekezaji wa mgodi wa North Mara Kiasi kwamba vurugu Kila mara?

Vurugu hizi zimekuwa zinachukua maisha ya watu na zilianza miaka Ile ya Mkapa Hadi Leo hii Bado ni shida.

Na nyie Chadema ambao nmachukulia siasa na kuchochea watu walete vurugu mnanufaika vipi na hasara ya uhai wa watu?

Pia soma: Waziri Masauni na Waziri Mavunde wawasili Mara kwa ajili ya mgogoro Kati ya Wananchi na Wamiliki wa Mgodi wa North Mara

Mbona migodi Iko Mingi sana hapa Tanzania lakini Kwa nini Kila mara ni huko Nyamongo tuu?

VIDEO:
Mauaji ya kutisha Mgodini Nyamongo, John Heche kumfuata Rais Samia Suluhu Hassan

My Take
Serikali tumeni watu wa Elimu Kwa Umma na Kisaikolojia wakawasaidie hao watu lakini pia muwadhibiti Wanasiasa wanaoshadidia vurugu hasa Chadema.
 
Serikali pamoja na watu wa Nyamongo njoo I hapa mtueleze shida ni ni ipi kati yenu na wawekezaji wa mgodi wa North Mara Kiasi kwamba vurugu Kila mara?

Vurugu hizi zimekuwa zinachukua maisha ya watu na zilianza miaka Ile ya Mkapa Hadi Leo hii Bado ni shida.

Na nyie Chadema ambao nmachukulia siasa na kuchochea watu walete vurugu mnanufaika vipi na hasara ya uhai wa watu?

Mbona migodi Iko Mingi sana hapa Tanzania lakini Kwa nini Kila mara ni huko Nyamongo tuu?

View: https://www.instagram.com/reel/C5lBKG0KZyx/?igsh=b3R6Z204NnE5MDVh

My Take
Serikali tumeni watu wa Elimu Kwa Umma na Kisaikolojia wakawasaidie hao watu lakini pia muwadhibiti Wanasiasa wanaoshadidia vurugu hasa Chadema.

Wakurya wana matatizo sana! Ujuaji na matumizi ya nguvu ni mengi sana!

Wanasiasa pia wanatumia mgogoro huo wa mgodi na wakazi wa Nyamongo kujipatia umaarufu!

Wataendelea kufa kama serkali isipo acha siasa na kuchukua maamuzi ya kuwatoa na kuwalipa wananchi ili watoke maeneo hayo!
 
Wakurya wana matatizo sana! Ujuaji na matumizi ya nguvu ni mengi sana!

Wanasiasa pia wanatumia mgogoro huo wa mgodi na wakazi wa Nyamongo kujipatia umaarufu!

Wataendelea kufa kama serkali isipo acha siasa na kuchukua maamuzi ya kuwatoa na kuwalipa wananchi ili watoke maeneo hayo!
Waendelee kula chuma ndio watapata akili.Hawa watu wanaweza kujifanya wako Juu ya sheria na wanajiona Spesho sana si ndio?
 
Waendelee kula chuma ndio watapata akili.Hawa watu wanaweza kujifanya wako Juu ya sheria na wanajiona Spesho sana si ndio?
Wana kitu kinaitwa tegesha kwa kujenga nyumba kwenye maeneo ya mgodi ili kadri mgodi unavyotumia maeneo yake ili uweze kuwalipa!

Wanasiasa ndo wanaharibu sana maana binadamu kuuawa ndo inakuwa mtaji wa kisiasa!

Ukimwangalia Waitara na Heche siasa za Nyamongo za mauaji na mgogoro na mgodi ndo source ya kuonekana mtetezi wa wananchi ama laah!

Hapa wananchi waambiwe ukweli kama mzungu alipata leseni bila fidia ni uzembe wa serkali hii ya CCM kwa maana Mzungu anaweza kutoa fidia ila watu wa halmashauri wanawahujumu wananchi!

Sio wajinga waliosema adui wa Mwafrika ni Mwafrika mwenzake!
 
Wana kitu kinaitwa tegesha kwa kujenga nyumba kwenye maeneo ya mgodi ili kadri mgodi unavyotumia maeneo yake ili uweze kuwalipa!

Wanasiasa ndo wanaharibu sana maana binadamu kuuawa ndo inakuwa mtaji wa kisiasa!

Ukimwangalia Waitara na Heche siasa za Nyamongo za mauaji na mgogoro na mgodi ndo source ya kuonekana mtetezi wa wananchi ama laah!

Hapa wananchi waambiwe ukweli kama mzungu alipata leseni bila fidia ni uzembe wa serkali hii ya CCM kwa maana Mzungu anaweza kutoa fidia ila watu wa halmashauri wanawahujumu wananchi!

Sio wajinga waliosema adui wa Mwafrika ni Mwafrika mwenzake!
Hueleweki mara mzungu mara Halmashauri mara Wananchi .Nyoosha maelezo
 
Serikali pamoja na watu wa Nyamongo njoo I hapa mtueleze shida ni ni ipi kati yenu na wawekezaji wa mgodi wa North Mara Kiasi kwamba vurugu Kila mara?

Vurugu hizi zimekuwa zinachukua maisha ya watu na zilianza miaka Ile ya Mkapa Hadi Leo hii Bado ni shida.

Na nyie Chadema ambao nmachukulia siasa na kuchochea watu walete vurugu mnanufaika vipi na hasara ya uhai wa watu?

Mbona migodi Iko Mingi sana hapa Tanzania lakini Kwa nini Kila mara ni huko Nyamongo tuu?

View: https://www.instagram.com/reel/C5lBKG0KZyx/?igsh=b3R6Z204NnE5MDVh

My Take
Serikali tumeni watu wa Elimu Kwa Umma na Kisaikolojia wakawasaidie hao watu lakini pia muwadhibiti Wanasiasa wanaoshadidia vurugu hasa Chadema.

Labda tungejua mauaji yametokea lini, eneo gani na kwanini na nani aliyefanya mauaji
 
Back
Top Bottom