MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
Habari Ndugu zangu,..
Hii video ukiitizama itakuliza.
Hii video ukiitizama itakuliza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasikitisha sanaSawasawa [emoji3097]
🤭Unasikitisha sana
Wamekua washenzi tena?waongeze sauti za kilio,
washenzi hao
WellsaidJPM aliipenda Tanzania na Afrika Kwa ujumla. Alikua ni mzalendo wa kweli.
Chaguzi zijazo ni kati ya uzalendo na uhalifu wa Mali za umma.
Hakika hakuna Mgombea miaka ijayo atakayeshinda kirahisi bila kuwa na falsafa ya Magufulificatin hata nje ya Tanzania.
Watu wamegundua kuwa nchi hii Ina pesa na Mali nyingi sana tatizo ni waliopewa dhamana kugeuka na kuwa wezi na wafujaji wa Mali za umma. Bahati mbaya Kwa Sasa hakuna wa kuwazuia.
Watanzania wanataka Kiongozi wa kulinda Mali zao na Fedha za umma bila kulegea au kuwa na huruma . Mwizi anatakiwa agongwe chuma tuu.