Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 790
- 1,923
Wakuu habari, hopeful mko poa wote,
Mmoja kwa moja kwenye mada, nikiwa nikiangalia television ya taiga la Zimbabwe ya burudani inayokwenda kwa jina la JIVE TV kwa muda sasa, cha ajabu na kupendeza ni kwamba wanapiga nyimbo za South Africa,Congo,Nigeria na Zimbabwe kidogo.
Ila ikija kwenye suala la bongo zitapigwa nyimbo za nyange mfululizo alizoimba mwenyewe na colabo za kutosha hadi unaweza kuzani ni television ya bongo kumbe ni Zimbabwe. Huyu jamaa anastaili pongezi bhana,tukiachilia mbali mapungufu kadhaa aliyonayo ameupeleka mziki wa bongo kimataifa. Television nyingine zinazocheza mziki wa bwana nyange mfululizo ni LOL Africa na Fresh Tv za Ghana.
Mbali na channel O,MTV base na Trace Music bwana nyange anatamba na kusumbua kwenye local chanells za Afrika magharibi na kusini mwa Afrika. Kongole wa diamond na management yake kwa ujumla.
NB: Nitoe rai kwa wasanii wengine wa bongo na East Africa waache kujilinganisha na kushindana na bwana nyange, bali waumgane naye wajifunze na kupata mbinu za kutoboa kimataifa.
Mmoja kwa moja kwenye mada, nikiwa nikiangalia television ya taiga la Zimbabwe ya burudani inayokwenda kwa jina la JIVE TV kwa muda sasa, cha ajabu na kupendeza ni kwamba wanapiga nyimbo za South Africa,Congo,Nigeria na Zimbabwe kidogo.
Ila ikija kwenye suala la bongo zitapigwa nyimbo za nyange mfululizo alizoimba mwenyewe na colabo za kutosha hadi unaweza kuzani ni television ya bongo kumbe ni Zimbabwe. Huyu jamaa anastaili pongezi bhana,tukiachilia mbali mapungufu kadhaa aliyonayo ameupeleka mziki wa bongo kimataifa. Television nyingine zinazocheza mziki wa bwana nyange mfululizo ni LOL Africa na Fresh Tv za Ghana.
Mbali na channel O,MTV base na Trace Music bwana nyange anatamba na kusumbua kwenye local chanells za Afrika magharibi na kusini mwa Afrika. Kongole wa diamond na management yake kwa ujumla.
NB: Nitoe rai kwa wasanii wengine wa bongo na East Africa waache kujilinganisha na kushindana na bwana nyange, bali waumgane naye wajifunze na kupata mbinu za kutoboa kimataifa.