Nyani Huyu Balaa!

Chizi kapewa rungu! huyu ni original na wala sio Ngabu au Zubiani huh!
 
Kazi kwenu majangiri hawa jamaa wakifundishwa kuwatambua watakuwa wanawapora silaha na kuwageuzia papo hapo bila maelezo kama muwafanyiavyo wanyama wenzao.
 
lol, kalala katikati ya barabara ole wako upite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…