nyani mkindu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 537
- 976
Mwanangu kua, kua nikutume.
Unitume wapi? Kwa mfalume.
Kuna n'gombe zetu 12.
Mmoja kafa kamla NYAAAAANI.
Nyani mkindu, tumkindule.
Kasoro mafiga ya bwana Juma.
Bwana Juma gani? Mdogo.
.........................!!! [emoji23][emoji23][emoji23] Nyaniiiiz wakiongozwa na Nyani Ngabu wamalizie huo mstari wa mwisho.
Unitume wapi? Kwa mfalume.
Kuna n'gombe zetu 12.
Mmoja kafa kamla NYAAAAANI.
Nyani mkindu, tumkindule.
Kasoro mafiga ya bwana Juma.
Bwana Juma gani? Mdogo.
.........................!!! [emoji23][emoji23][emoji23] Nyaniiiiz wakiongozwa na Nyani Ngabu wamalizie huo mstari wa mwisho.