nyani mkindu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 537
- 976
Mwanangu kua, kua nikutume.
Unitume wapi? Kwa mfalume.
Kuna n'gombe zetu 12.
Mmoja kafa kamla NYAAAAANI.
Nyani mkindu, tumkindule.
Kasoro mafiga ya bwana Juma.
Bwana Juma gani? Mdogo.
.........................!!! [emoji23][emoji23][emoji23] Nyaniiiiz wakiongozwa na Nyani Ngabu wamalizie huo mstari wa mwisho.
ID ya zaman imezeekaView attachment 578267posts count 1! Halafu umerudi tena! [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kiongozi,karibu tena mkuu
Mis uu too Jovitha, njoo inboksiBby miss u
Huu wimbo uliwahi kutolewa Remix? Sisi tulikuwa tunaimba Nyani Mk*ndu tumk*ndule, kasoro mafiga ya mwanachuma.Mwanangu kua, kua nikutume.
Unitume wapi? Kwa mfalume.
Kuna n'gombe zetu 12.
Mmoja kafa kamla NYAAAAANI.
Nyani mkindu, tumkindule.
Kasoro mafiga ya bwana Juma.
Bwana Juma gani? Mdogo.
.........................!!! [emoji23][emoji23][emoji23] Nyaniiiiz wakiongozwa na Nyani Ngabu wamalizie huo mstari wa mwisho.
Hahahhaa nyani Nina madoidosio kwa mbwembwe hizo mkuu
Asante mkuukaribu tena
Hahahaha nipo JF kabla yako, sijaingia zaidi ya miaka minne, ila account hii ni mpyaView attachment 578267posts count 1! Halafu umerudi tena! [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Sent using Jamii Forums mobile app
WanaJF Siku izi mnatumia lugha za kizungu[emoji23][emoji23], Id umemaanisha nn?ID ya zaman imezeeka
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
utambulishoWanaJF Siku izi mnatumia lugha za kizungu[emoji23][emoji23], Id umemaanisha nn?
Nyani Ngabu baba mkwe wanguMkuu unabifu na Nyani ngabuu
Nimekusomautambulisho
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]ID ya zaman imezeeka
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Okay sawa asanteHahahaha nipo JF kabla yako, sijaingia zaidi ya miaka minne, ila account hii ni mpya