tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Baada ya kutafakari tabia za huyu nyani na pia kutafakari jinsi mafisadi wa CCM wanavyouza rasilimali za taifa kwa waarabu na mabeberu bila huruma, nimejiridhisha pasi na shaka kwamba tabia za mafisadi wa CCM zinawiana na tabia za huyu nyani.
Mafisadi wa CCM hawashibi kamwe. Matumbo yao yanatanuka kama ya nyoka au chatu anayeweza kumeza ng’ombe mzima na pembe zake bila shida. U wapi utu wa hawa viumbe wanaowaza kuuza kila kitu wanachokiona mbele yao ilmradi wapate kushiba? Kwa mwenendo huu wa uuzaji, ipo siku watanganyika watauzwa utumwani kwa waarabu kwa vipande 30 vya fedha kama Yuda Eskarioti alivyomuuza Yesu kwa mafarisayo.
Ifike wakati hawa watu watuonee huruma sisi na vizazi vyetu. Ni wazi kuwa wakishauza nchi kwa waarabu kuna uwezekanao mkubwa wao wakaihama nchi wakaenda kukaa nchi watakayoichagua lakini wakumbuke huku nyuma watawaacha ndugu zao wakiteseka. Hata mnyama hakubali kuona uzao wake ukiteseka. Hii ni tofauti na majitu ya CCM ambayo yanajijali yenyewe; hayajali ustawi wa ndugu na watanzania wengine watakaowaacha hapa nchini. Mafisadi hawa hawana huruma hata kidogo.
Nchi imefika hatua ambayo watanganyika wanatamani wangezaliwa kama mbwa huko Ulaya na Marekani kuliko kuzaliwa kama binadamu hapa nchini. Waarabu wanaouziwa nchi ni walewale waliotuuza utumwani na tabia zao hazijabadilika hata kidogo. Ni afadhali mkoloni beberu kuliko mwarabu mvaa makobazi. Hawa jamaa ni wabaya zaidi ya nyoka. Wakishaingia hapa nchini na kukita mizizi yao wataturejesha enzi za mababu na kuanza kutuuza utumwani kama mababu zao walivyotuuza utumwani. Hawa sio watu kabisa.
Kwa sasa mafisadi wanacheka nao na kuwauzia nchi lakini wakishatia mguu na ku-establish utawala wao hapa nchini Tanganyika, cha moto tutaanza kukiona. Natoa rai kwa wananchi wenye uchungu na rasilimali za taifa kuendelea kuwapinga CCM wasiuze nchi kwa waarabu kwani waarabu si watu wazuri hata kidogo.
Nawasilisha.
Mafisadi wa CCM hawashibi kamwe. Matumbo yao yanatanuka kama ya nyoka au chatu anayeweza kumeza ng’ombe mzima na pembe zake bila shida. U wapi utu wa hawa viumbe wanaowaza kuuza kila kitu wanachokiona mbele yao ilmradi wapate kushiba? Kwa mwenendo huu wa uuzaji, ipo siku watanganyika watauzwa utumwani kwa waarabu kwa vipande 30 vya fedha kama Yuda Eskarioti alivyomuuza Yesu kwa mafarisayo.
Ifike wakati hawa watu watuonee huruma sisi na vizazi vyetu. Ni wazi kuwa wakishauza nchi kwa waarabu kuna uwezekanao mkubwa wao wakaihama nchi wakaenda kukaa nchi watakayoichagua lakini wakumbuke huku nyuma watawaacha ndugu zao wakiteseka. Hata mnyama hakubali kuona uzao wake ukiteseka. Hii ni tofauti na majitu ya CCM ambayo yanajijali yenyewe; hayajali ustawi wa ndugu na watanzania wengine watakaowaacha hapa nchini. Mafisadi hawa hawana huruma hata kidogo.
Nchi imefika hatua ambayo watanganyika wanatamani wangezaliwa kama mbwa huko Ulaya na Marekani kuliko kuzaliwa kama binadamu hapa nchini. Waarabu wanaouziwa nchi ni walewale waliotuuza utumwani na tabia zao hazijabadilika hata kidogo. Ni afadhali mkoloni beberu kuliko mwarabu mvaa makobazi. Hawa jamaa ni wabaya zaidi ya nyoka. Wakishaingia hapa nchini na kukita mizizi yao wataturejesha enzi za mababu na kuanza kutuuza utumwani kama mababu zao walivyotuuza utumwani. Hawa sio watu kabisa.
Kwa sasa mafisadi wanacheka nao na kuwauzia nchi lakini wakishatia mguu na ku-establish utawala wao hapa nchini Tanganyika, cha moto tutaanza kukiona. Natoa rai kwa wananchi wenye uchungu na rasilimali za taifa kuendelea kuwapinga CCM wasiuze nchi kwa waarabu kwani waarabu si watu wazuri hata kidogo.
Nawasilisha.