johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mbeba mabox huko kwa Trump isije akawa kadakwaKamanda umepotea sana hapa jamvini
Maendeleo hayana vyama!
Inawezekana kadakwaNgabu jasiri mwongoza njia ya wabeba box mbezi!
Serengeti Shipping ilifungwa?Inawezekana kadakwa
Mwenzake Chris lukosi siku hizi kawa mjasilia mali kwa wachina
Hii inahusiana vipi na jukwaa la siasa?Kamanda umepotea sana hapa jamvini
Maendeleo hayana vyama!
Tulia wewee acha porojo jamvini fanya kazi. Kwani lazima ulete thread? Pia huu uzi mhasibu wenu hapo lumumba ataidhinisha B7?Kamanda umepotea sana hapa jamvini
Maendeleo hayana vyama!
Serengeti Shipping ilifungwa?
Daaah lukosi kuna wakati alipambana hapa JF hadi kero. Aliishiaga wapi na aliishiaishiaje?Inawezekana kadakwa
Mwenzake Chris lukosi siku hizi kawa mjasilia mali kwa wachina
Daaah lukosi kuna wakati alipambana hapa JF hadi kero. Aliishiaga wapi na aliishiaishiaje?
Chili SosiDaaah lukosi kuna wakati alipambana hapa JF hadi kero. Aliishiaga wapi na aliishiaishiaje?
Yupo anakujaga humu na ID zingine. Tangu shemeji yake amfukuze kwake alipokuwa analala sebulen siku hizi kawa mjasiriamali wa vitu used uingereza anauza kwenye FacebookDaaah lukosi kuna wakati alipambana hapa JF hadi kero. Aliishiaga wapi na aliishiaishiaje?
Hahahahaa.......kama kweli ile jitahida yake ya kutetea chama kile hapa JF haikutambuliwa basi ajue chama kile kina wenyewe. Bora akauze vitu vyake used badoo kuliko facebookYupo anakujaga humu na ID zingine. Tangu shemeji yake amfukuze kwake alipokuwa analala sebulen siku kawa mjasiriamali wa vitu used uingereza anauza kwenye Facebook
Elli
Wakati ule wa msiba kuna mtu mmoja alisema kuna ID maarufu humu itapotea.Sasa sijui alimaanisha nini?!Au alikuwa ndiye jasiri muongoza njia!
Hahahahaa.......kama kweli ile jitahida yake ya kutetea chama kile hapa JF haikutambuliwa basi ajue chama kile kina wenyewe. Bora akauze vitu vyake used badoo kuliko facebookYupo anakujaga humu na ID zingine. Tangu shemeji yake amfukuze kwake alipokuwa analala sebulen siku kawa mjasiriamali wa vitu used uingereza anauza kwenye Facebook
Elli
Alikuwaga mnoko, mtesi na mnyanyasaji alivyokuwa trafiki huko Mbeya. Kalinunuaga baiskel ya fineksi yani ilikuwa kero kwa nyodo na majigambo.Hahahahaa.......kama kweli ile jitahida yake ya kutetea chama kile hapa JF haikutambuliwa basi ajue chama kile kina wenyewe. Bora akauze vitu vyake used badoo kuliko facebook
Siasa ni maisha kamanda ndio maana daktari wanyamapori ndiye mtendaji mkuu wa Ufipa!Hii inahusiana vipi na jukwaa la siasa?