Niko hapa insta babe Ngabu sijui katekwa na naniInsta babe
Hahaha jeshi la mtu mmoja lileNapenda sana akiwa kule siasani akipambana na kundi la bavicha
Dah muda mrefu sana....wengi huwa wanabadili ID. Sasa hivi kuna ID nyingi mpya ila watu wale wale wa zamaniKupumzika tu sometimes humu kunachosha,maada zile konki au zenye amsha amsha zinakosekanaga mtu anaamua kusizi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuu inawezekana eeee..Nasikia ndiye 'jasiri mwongoza njia'.
Siunajua alipo?
Nasikia ndiye 'jasiri mwongoza njia'.
Siunajua alipo?