Nyankurungu: Hayati Rais Magufuli hakuwa na tozo ni kweli. Yeye alikuwa na "Presumtive Tax assessment" tulilipa kodi hadi za enzi ya Mkapa na Kikwete

Nyankurungu: Hayati Rais Magufuli hakuwa na tozo ni kweli. Yeye alikuwa na "Presumtive Tax assessment" tulilipa kodi hadi za enzi ya Mkapa na Kikwete

Vugu-Vugu

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2017
Posts
1,381
Reaction score
1,600
|[ Kwa unyenyekevu Mkubwa, Naomba kujibu kwanini Hayati Rais Magufuli hakuwa na tozo na still akajenga vituo vingi vya afya kama ilivyoulizwa na Nyankurungu2020]|,

SIKILIZA HII NDUGU YANGU NYANKURUNGU.
_______________________________________

Wakati wa Hayati Rais Magufuli wafanyabiashara hawa wachache wasiozidi 2,7M walihudumia watu zaidi ya 60M kwani walilipa kodi za miaka ya nyuma kwa mtindo wa Makadirio ya nyuma,
__________________________________________

Ilikuwa hivi, Tunakupa mashine ya EFD baada ya mwaka tunakuja kukokotoa jumla ya kodi kwa kutumia taarifa za EFD,

it's obvious kodi ya EFD lazima iwe kubwa kuliko ile ya makadirio ya macho na kumsikiliza mteja ( Mfanyabiashara ) yaani " Self Tax assessment "

Mathalani : Kwa miaka kumi mfululizo kwakutumia Self Tax assessment uliluwa unalipa kodi ya Tshs 1,400,000 kwa Mchanganuo wa 350,000|350,000|350,000||350,000 na kila mwaka ukapewa Tax clearance kwamba hudaiwi kodi yoyote,

Baada ya kutathimini kodi kutoka kwenye Taarifa ya EFD tukakuta kodi yako stahiki ilipashwa kuwa Tshs 3,000,000 kwa mwaka,

Sasa kwa kutumia Presumptive Tax Assessment tunasema hiyo tofauti yaani 3,000,000 - 1,400,000 =1,600,000,
Tunaangalia lesseni yako ni lini ulianza biashara,Mfano lesseni yako inasomeka 01|01|2011,

Then, Tunachukua 2021-2011= 10Yrs

Hence,Tunachukua ile tofauti tunazidisha kwa muda uliofanya biashara,

Yaani : 1,600,000 X 10 = 16,000,000"
Tunakupa Invoice ya Tshs 16M kama Tax arrears,
Nimekupeni makadirio ya biashara ndogo tu,Nadhani mmeona kwanini watu walifunga biashara na kukimbilia nchi jirani au walifungua biashara kwa majina mengine,
__________________________________________

Hii kitu ilimpa Hayati Rais Magufuli pesa nyingi sana so hakuwa na haja ya kutafuta miamia za tozo kama ilivyo kwa Mama Samia leo,Hayati Rais Magufuli aliamua kuumiza wachache kwaajili ya wengi kitu ambacho kiliua kabisa biashara na mambo yakawa yalivyokuwa, Hapa kila mtu anafahamu nini kilitokea.
__________________________________________

JE, MNATAKA HII IRUDI ILI TOZO IONDOLEWE?
JIBU NI HAPANA HII NI DHULUMA MAMA HATAKI KABISA KWANI ANASEMA NIBORA TUSIPATE KODI KULIKO TUDHULUMU WATOTO WA MASIKINI,

Sote tunajua Mama Samia hataki kuumiza yeyote yule ndio maana watanzania wote zaidi ya 60M tozo zinatuhusu na waswahili wanasema " kilio cha wengi ni Sherehe, "

Swali, Je, Mnadhani Rais anakosea kuweka tozo kutokana na mazingira niliyoyaeleza hapo juu!?JIBU NI HAPANA TOZO ILIPWE KIROHO SAFI,


...Kazi indelee na Mungu atangulie...


 
Naomba kujibu kwanini Hayati Rais Magufuli hakuwa na tozo na still akajenga vituo vingi vya afya kama ilivyoulizwa na Nyankurungu2020.

SABABU NI MBILI KUBWA.

1. Wakati wa Hayati Rais Magufuli wafanyabiashara hawa wachache wasiozidi 2,7M walihudumia watu zaidi ya 60M kwani walilipa kodi za miaka ya nyuma kwa mtindo wa Makadirio ya nyuma,

Ilikuwa hivi, Tunakupa mashine ya EFD baada ya mwaka tunakuja kukokotoa jumla ya kodi kwa kutumia taarifa za EFD,

it's ovious kodi ya EFD lazima iwe kubwa kuliko ile ya makadirio ya macho na kumsikiliza mteja ( Mfanyabiashara ) yaani " Self Tax assessment "

Mathalani : Kwa miaka kumi mfululizo kwakutumia Self Tax assessment uliluwa unalipa kodi ya Tshs 1,400,000 kwa Mchanganuo wa 350,000|350,000|350,000||350,000 na kila mwaka ukapewa Tax clearance kwamba hudaiwi kodi yoyote,

Baada ya kutathimini kodi kutoka kwenye Taarifa ya EFD tukakuta kodi yako stahiki ilipashwa kuwa Tshs 3,000,000 kwa mwaka,

Sasa kwa kutumia Presumptive Tax Assessment tunasema hiyo tofauti yaani 3,000,000 - 1,400,000 =1,600,000,
Tunaangalia lesseni yako ni lini ulianza biashara,Mfano lesseni yako inasomeka 01|01|2011,

Then, Tunachukua 2021-2011= 10Yrs

Hence,Tunachukua ile tofauti tunazidisha kwa muda uliofanya biashara,

Yaani : 1,600,000 X 10 = 16,000,000"
Tunakupa Invoice ya Tshs 16M kama Tax arrears,
Nimekupeni makadirio ya biashara ndogo tu,Nadhani mmeona kwanini watu walifunga biashara na kukimbilia nchi jirani au walifungua biashara kwa majina mengine,

Hii kitu ilimpa Hayati Rais Magufuli pesa nyingi sana so hakuwa na haja ya kutafuta miamia za tozo kama Mama Samia leo,Yeye aliamua kuumiza wachache kwaajili ya wengi kitu ambacho kiliua kabisa na mambo yakawa yalivyokuwa,

JE, MNATAKA HII? HAPANA HII NI DHULUMA MAMA HATAKI

Lakini Mama Samia hataki kuumiza yeyote yule ndio maana watanzania wote zaidi ya 60M tozo zinatuhusu na waswahili wanasema " kilio cha wengi ni Sherehe, "

2. Sababu ya Pili ni kushuka kwa utalii kutoka na Corona,Tumepoteza zaidi ya Tshs 5trl kila mwaka kutokana na uwepo wa CORONA duniani, Na wote mnajua CORONA sio ya CCM wala Chadema ,tunafanyaje ili tuwe na kituo cha afya? Tuwe na shule? Tuwe na barabara nzuri hadi vijijini?


Swali, Je, Mnadhani Rais anakosea kuweka tozo kutokana na mazingira niliyoyaeleza hapo juu!?JIBU NI HAPANA


...Kazi indelee na Mungu atangulie...






Mwandishi umefafanua vizuri Sana, Watanzania hawana elimu wanamchukia mama wakati Mama ndio anawasaidia big time,

Tangu lini mama akatesa wanae
 
Tatizo kuu na sugu la serikali hii ni kukataa baadhi ya mambo waliyoita machafu/dhuluma ya awamu ya tano na kuendeleza baadhi yenye uchafu uleule.

Kwanza UONGO.
Awamu ya sita inaendeleza uongo uleule kuwa mapato yanapaa sana na nchi ni tajiri sana. Lakini kadiri mapato ya kodi yanavyopaa ndivyo nao wanakuja na namna mbalimbali za kukamua vipesa vidogovidogo vilivyopo kwa wananchi maskini. Hii ni contradiction. Hata mjinga hawezi kukuelewa.

Pili UDIKTETA
Awamu ya tano ilijinasimu kuufuta upinzani hasa CHADEMA, ifikapo mwaka 2020. Kilichofuatia ni kupora chaguzi ngazi zote na kujiweka madarakani kiharamu. Urais haramu, bunge haramu, serikali za mitaa haramu. Sababu walizoleta ni kuwa wapinzani ndiyo wamechelewesha maendeleo.

Awamu ya sita nayo imeshindwa kuachana na udikteta. Imeendeleza hoja kuwa demokrasia inachelewesha kujenga uchumi, kwa mujibu wa Mh. Mama Samia. Hii logic nayo ni mfu. Hata ukadanganye wajinga watakuona unawazuga tu ili kulinda ulichoshikilia.

Hitimisho.
Awamu ya sita iachane na kuwadanganya na kuwaulaghai watanzania. Wajue kuw Watanzania tuna akili timamu na utashi kamili.
 
Watu maweishalishwa unga wa ndele, HAWAELEWI
 
Tozo tulipe tu hilo halina ubishi na tukijenga utamaduni huu tutapata maendeleo haraka maana kupitia kuongezeka kwa taxbase tayari pesa itakua nyingi na hata mtaani itaanza kuonekana. HATUPINGI KODI, LAKINI MATUMIZI YA PESA YAWE YAWE YA KWELI.
 
Tozo tulipe tu hilo halina ubishi na tukijenga utamaduni huu tutapata maendeleo haraka maana kupitia kuongezeka kwa taxbase tayari pesa itakua nyingi na hata mtaani itaanza kuonekana. HATUPINGI KODI, LAKINI MATUMIZI YA PESA YAWE YAWE YA KWELI.
Kuna chama fulan cha upinzan hakitaki haya yafanyike kupitia serikali hii. Maana wanajua wakiunga mkono ujenzi wa shule nyingi ambazo zitasaidia watoto wetu wasitembee umbali mrefu kwenda shule, au kuunga mkono ujenzi wa hospital ambazo sitawasaidia kina mama wajawazito na wagonjwa mbali mbali wasitembee muda mrefu kufuata huduma za afya, au wakiunga mkono swala la miundo mbinu ya barabara na upatikanaji wa maji na umeme kwa wingi nchi nzima, basi mwaka 2025 watakosa ilani au hoja ya kuwalaghai watanzania wawachague. Kwahiyo wanajaribu kufanya kila wawezalo ili kuvuruga mpango huu kwa kujifanya wanakuja na mikakati ya katiba nk. Kwani wamekuwa wakijaribu kukwamisha juhudi za serikali mara nyingi tu lkn Mungu anawalaani kwa kuangukia pua uchaguzini. Kwani watanzania wa sasa sio wajinga tena. Wanawasikiliza na kuwashangilia kama vile wako nao pamoja, ila unapofika uchaguzi wanawaadhibu kinoma noma bila huruma.

images (26).jpeg
 
Tozo tulipe tu hilo halina ubishi na tukijenga utamaduni huu tutapata maendeleo haraka maana kupitia kuongezeka kwa taxbase tayari pesa itakua nyingi na hata mtaani itaanza kuonekana. HATUPINGI KODI, LAKINI MATUMIZI YA PESA YAWE YAWE YA KWELI.



Ndio, Nahuo ndio Uzalendo kwa Taifa lako,
Mama asaidiwe na ashauriwe anayonia ya kweli kulivusha Taifa hili,
 
Kuna chama fulan cha upinzan hakitaki haya yafanyike kupitia serikali hii. Maana wanajua wakiunga mkono ujenzi wa shule nyingi ambazo zitasaidia watoto wetu wasitembee umbali mrefu kwenda shule, au kuunga mkono ujenzi wa hospital ambazo sitawasaidia kina mama wajawazito na wagonjwa mbali mbali wasitembee muda mrefu kufuata huduma za afya, au wakiunga mkono swala la miundo mbinu ya barabara na upatikanaji wa maji na umeme kwa wingi nchi nzima, basi mwaka 2025 watakosa ilani au hoja ya kuwalaghai watanzania wawachague. Kwahiyo wanajaribu kufanya kila wawezalo ili kuvuruga mpango huu kwa kujifanya wanakuja na mikakati ya katiba nk.

View attachment 1923562



Kabisa naungana na wewe

Chadema wachonganisha tutawajibu,
Mama kaizika rasmi chadema wallah
 
Naomba kujibu kwanini Hayati Rais Magufuli hakuwa na tozo na still akajenga vituo vingi vya afya kama ilivyoulizwa na Nyankurungu2020.

SABABU NI HII KUBWA.

Wakati wa Hayati Rais Magufuli wafanyabiashara hawa wachache wasiozidi 2,7M walihudumia watu zaidi ya 60M kwani walilipa kodi za miaka ya nyuma kwa mtindo wa Makadirio ya nyuma,

Ilikuwa hivi, Tunakupa mashine ya EFD baada ya mwaka tunakuja kukokotoa jumla ya kodi kwa kutumia taarifa za EFD,

it's ovious kodi ya EFD lazima iwe kubwa kuliko ile ya makadirio ya macho na kumsikiliza mteja ( Mfanyabiashara ) yaani " Self Tax assessment "

Mathalani : Kwa miaka kumi mfululizo kwakutumia Self Tax assessment uliluwa unalipa kodi ya Tshs 1,400,000 kwa Mchanganuo wa 350,000|350,000|350,000||350,000 na kila mwaka ukapewa Tax clearance kwamba hudaiwi kodi yoyote,

Baada ya kutathimini kodi kutoka kwenye Taarifa ya EFD tukakuta kodi yako stahiki ilipashwa kuwa Tshs 3,000,000 kwa mwaka,

Sasa kwa kutumia Presumptive Tax Assessment tunasema hiyo tofauti yaani 3,000,000 - 1,400,000 =1,600,000,
Tunaangalia lesseni yako ni lini ulianza biashara,Mfano lesseni yako inasomeka 01|01|2011,

Then, Tunachukua 2021-2011= 10Yrs

Hence,Tunachukua ile tofauti tunazidisha kwa muda uliofanya biashara,

Yaani : 1,600,000 X 10 = 16,000,000"
Tunakupa Invoice ya Tshs 16M kama Tax arrears,
Nimekupeni makadirio ya biashara ndogo tu,Nadhani mmeona kwanini watu walifunga biashara na kukimbilia nchi jirani au walifungua biashara kwa majina mengine,

Hii kitu ilimpa Hayati Rais Magufuli pesa nyingi sana so hakuwa na haja ya kutafuta miamia za tozo kama Mama Samia leo,Yeye aliamua kuumiza wachache kwaajili ya wengi kitu ambacho kiliua kabisa na mambo yakawa yalivyokuwa,

JE, MNATAKA HII? HAPANA HII NI DHULUMA MAMA HATAKI

Lakini Mama Samia hataki kuumiza yeyote yule ndio maana watanzania wote zaidi ya 60M tozo zinatuhusu na waswahili wanasema " kilio cha wengi ni Sherehe, "

Swali, Je, Mnadhani Rais anakosea kuweka tozo kutokana na mazingira niliyoyaeleza hapo juu!?JIBU NI HAPANA


...Kazi indelee na Mungu atangulie...


Na wale walikuwa wanavamiwa na kuporwa pesa kama akina Sabaya wanavyosema.

Waliokuwa wanashangilia kusema tumbuaaa,leo kodi inawahusu eti wanalia Lia pumbavu sana.

Watu walidhulumiwa Sana aisee, yaani hesabu za leo zinalipa biashara ya miaka 10 iliyopita eti huhulipa ,ulikuwa wizi na uonevu mkubwa Sana.

Yaani ukiwa na pesa kwa Magu ilikuwa ni adui wake alitaka wote wawe maskini.
 
Kuna sehemu kakosea, anasema mapato ya utalii yameshuka ila mbona makusanyo ya serikali kwa mwezi yamepanda kuliko wakati mwingine wowote?
Lini walisema yamepanda? Kushuka utalii sio lazima na kwingine kushuke hususani gold imepanda Sana bei na Mazao ya horticulture.

Pili kwa miezi 3 ameimorove biashara ya Mazao kwa hiyo sio ajabu makusanyo kuongezeka na hata tax administration ya TRA sio kama ya kutishana.
 
Tatizo kuu na sugu la serikali hii ni kukataa baadhi ya mambo waliyoita machafu/dhuluma ya awamu ya tano na kuendeleza baadhi yenye uchafu uleule.

Kwanza UONGO.
Awamu ya sita inaendeleza uongo uleule kuwa mapato yanapaa sana na nchi ni tajiri sana. Lakini kadiri mapato ya kodi yanavyopaa ndivyo nao wanakuja na namna mbalimbali za kukamua vipesa vidogovidogo vilivyopo kwa wananchi maskini. Hii ni contradiction. Hata mjinga hawezi kukuelewa.

Pili UDIKTETA
Awamu ya tano ilijinasimu kuufuta upinzani hasa CHADEMA, ifikapo mwaka 2020. Kilichofuatia ni kupora chaguzi ngazi zote na kujiweka madarakani kiharamu. Urais haramu, bunge haramu, serikali za mitaa haramu. Sababu walizoleta ni kuwa wapinzani ndiyo wamechelewesha maendeleo.

Awamu ya sita nayo imeshindwa kuachana na udikteta. Imeendeleza hoja kuwa demokrasia inachelewesha kujenga uchumi, kwa mujibu wa Mh. Mama Samia. Hii logic nayo ni mfu. Hata ukadanganye wajinga watakuona unawazuga tu ili kulinda ulichoshikilia.

Hitimisho.
Awamu ya sita iachane na kuwadanganya na kuwaulaghai watanzania. Wajue kuw Watanzania tuna akili timamu na utashi kamili.
Kama swala ni uongo basi hata wapinzani wanaopambana tuwape nchi nao ni waongo. Waliyoongea kuanzia 2008 mpk 2014 ni tofauti na yale waliyoongea 2015 kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu hadi 2017 au 2018 kama unavyoona pichani.









images (7).jpeg


2878995_images_9.jpeg


images (11).jpeg


images (10).jpeg

Na pili unapozungumzia udikteta unasahau yaliyomkuta Chacha Wangwe, Zito, Sumaye nk. Kisa tu uenyekiti wa chama fulani.
 
Back
Top Bottom