Nyanya na Mayai. Jipikie mwenyewe!

Nyanya na Mayai. Jipikie mwenyewe!

Bakari China

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
254
Reaction score
588
Habari wakuu wa JF! Hapa ni Mchina Bakari, ni muda mrefu hatujaonana.
Leo nitawafundisha namna ya kupika chakula kizuri cha Kichina, jina lake ni 番茄炒蛋, ambalo linamaanisha nyanya na mayai.
Kabla ya kupika, unatakiwa kuandaa vyema kwa mapishi yako. Malighafi yanapatikana sokoni, nyanya moja na mayai mawili tu.
1. Ikate nyanya kipandekipande. Ukubwa wa kila kipande usijali, kama upendavyo tu.
2. Weka mayai kwenye bakuli dogo, tia chumvi na ukavuruga kwa vijiti vya kulia (chopsticks). Unaweza kuvinunua katika supamakiti.
3. Washa jiko lako, halafu weka mafuta kwenye sufuria. Utakapoona moshi ya mafuta ndipo utaweka maji ya mayai kwenye sufuria. Lazima ukumbuke kuvuruga mara kwa mara ama sivyo mayai yataunguza.
4. Tia vipande vya nyanya halafu uvivuruge pamoja na mayai. Baada ya sekond 30 hivi chakula kitamu tayari!
(Katika hatua ya namba 4, kama ukipenda unaweza kutia ketchup(mchuzi wa nyanya), lakini Wachina wengi hawafanyi hivyo)
Sasa chakula tayari, unaweza kukila pamoja na wali(kama Wachina wanavyofanya) au ugali.

Jaribu kupika mwenyewe! Usiende mgahawa wa Kichina bali jipikie mara ijayo!
 
Habari wakuu wa JF! Hapa ni Mchina Bakari, ni muda mrefu hatujaonana.
Leo nitawafundisha namna ya kupika chakula kizuri cha Kichina, jina lake ni 番茄炒蛋, ambalo linamaanisha nyanya na mayai.
Kabla ya kupika, unatakiwa kuandaa vyema kwa mapishi yako. Malighafi yanapatikana sokoni, nyanya moja na mayai mawili tu.
1. Ikate nyanya kipandekipande. Ukubwa wa kila kipande usijali, kama upendavyo tu.
2. Weka mayai kwenye bakuli dogo, tia chumvi na ukavuruga kwa vijiti vya kulia (chopsticks). Unaweza kuvinunua katika supamakiti.
3. Washa jiko lako, halafu weka mafuta kwenye sufuria. Utakapoona moshi ya mafuta ndipo utaweka maji ya mayai kwenye sufuria. Lazima ukumbuke kuvuruga mara kwa mara ama sivyo mayai yataunguza.
4. Tia vipande vya nyanya halafu uvivuruge pamoja na mayai. Baada ya sekond 30 hivi chakula kitamu tayari!
(Katika hatua ya namba 4, kama ukipenda unaweza kutia ketchup(mchuzi wa nyanya), lakini Wachina wengi hawafanyi hivyo)
Sasa chakula tayari, unaweza kukila pamoja na wali(kama Wachina wanavyofanya) au ugali.

Jaribu kupika mwenyewe! Usiende mgahawa wa Kichina bali jipikie mara ijayo!
Siku hizi masculinity hawapo kabisa! Una undugu na james delicious?
 
yaani upike sekunde 30 tu.!.mm swali langu kati ya nyanya uliyokatakata ikiwa mbichi na mayai kipi kitaaza kuiva.? kwanini usianze kutia nyanya kwanza zikiiva japo kidogo ndio utie mayai..
 
yaani upike sekunde 30 tu.!.mm swali langu kati ya nyanya uliyokatakata ikiwa mbichi na mayai kipi kitaaza kuiva.? kwanini usianze kutia nyanya kwanza zikiiva japo kidogo ndio utie mayai..
usitie nyanya kwanza ama sivyo mboga itakuwa yenye maji mengiiii
hakikisha mayai yaive zaidi kuliko nyanya. Mayai mabichi hayaliki ila nyanya mbichi yalika:Citto:
 
Back
Top Bottom