Nyanya ni chanzo kikuu cha Antioxidant Lycopene

Nyanya ni chanzo kikuu cha Antioxidant Lycopene

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1618229288896.png

Lishe ya antioxidant lycopene inayopatikana kwenye nyanya ina virutubisho ambavyo vina faida nyingi kiafya, ikiwa ni pamoja kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo, saratani na pumu. Pia ni chanzo kikubwa cha vitamini C, potasiamu, folate, na vitamini K.
 
Upvote 1
Lakini pia nyanya ni chanzo cha kansa japo kwa asimilia ndogo sana, hasa nyanya ambayo haijapikwa.
 
mods embu futa hii uzi hapa!😂😂
 
nyanya zile za kienyeji za enzi hizo sio za kisasa (GMO). Pemba zinapatikana sana zinaitwa tungule, mbegu za hizo nyanya zikidondoka tu kwenye ardhi na hali ya hewa ikawa nzuri huwa zinaota na kukua bila madawa makali ya kemikali
 

Lishe ya antioxidant lycopene inayopatikana kwenye nyanya ina virutubisho ambavyo vina faida nyingi kiafya, ikiwa ni pamoja kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo, saratani na pumu. Pia ni chanzo kikubwa cha vitamini C, potasiamu, folate, na vitamini K.
Nyanya inapigwa sana dawa za sumu wakati wa kuzilima
 
nyanya zile za kienyeji za enzi hizo sio za kisasa (GMO). Pemba zinapatikana sana zinaitwa tungule, mbegu za hizo nyanya zikidondoka tu kwenye ardhi na hali ya hewa ikawa nzuri huwa zinaota na kukua bila madawa makali ya kemikali
Ahsante mkuu.
 
Kama mgonjwa hajaanza kuugua thats ok anaweza kutumia yaweza kusaidia kuzuia, lakini kama kansa ishaanza kukula aisee hakuna kirutubisho kitasaidia...bali ni matibabu tu.

unwanted multiple cells multiplication katika mwili ni kitu kibaya saana.
 
Kama mgonjwa hajaanza kuugua thats ok anaweza kutumia yaweza kusaidia kuzuia, lakini kama kansa ishaanza kukula aisee hakuna kirutubisho kitasaidia...bali ni matibabu tu.

unwanted multiple cells multiplication katika mwili ni kitu kibaya saana.
Hatari sana mkuu.

Wakati mwingine nawaza kwamba pengine kuna vitu tunakula vinaenda kufanya hiyo kitu na kupelekea cell ikue na ijimultiply abnormally
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom