DOKEZO Nyara za serikali za maliasili na vidhibiti polisi hazilindwi

DOKEZO Nyara za serikali za maliasili na vidhibiti polisi hazilindwi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Wiki iliyoisha nilifanikiwa kujipenyeza na kuingia kwenye vidhibiti nyeti vilivyokamatwa na Polisi ambavyo kesi zake zinaendelea nikagundua hakuna ulinzi wa aina yoyote na unaweza kutoka na chochote unacho chagua.

Baada ya hapo nilipita ghala moja la pembe za ndovu liko mali asili nako hakuna ulinzi wa vileee pana wanajeshi ambao unaweza watia mtonyo ukasepa na mzigo na pana CCTV Camera hazifanyi kazi kwa mda maana ziko na kutu kabisa.

My take, we need to be serious kama tunataka hii nchi ifike mahali hasa kwenye mifumo yetu ya kutoa haki.

Niwatakie siku njema ya upigaji, upigaji uendelee.
 
Sasa wakiimarisha ulinzi na mzigo unahitajika kutoka on!time itakuwaje?
 
We umeona hapo tu. Ni wapi Serikali wako serious. Mpaka dawa zilizoisha muda wanawapa wajawazito na wanakuja na utetezi. Mtu analeta taarifa wanamtoa kazini. Kwanza nawe uwe makini nawe unatakiwa kutafutwa maana umevujisha Siri za Serikali.
 
Back
Top Bottom