Nyaraka za Sykes Zinavyoeleza Historia ya Uhuru na Historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Nyaraka za Sykes Zinavyoeleza Historia ya Uhuru na Historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
NYARAKA ZA SYKES ZINAVYOELEZA HARAKATI ZA KUDAI UHURU NA HISTORIA YA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE

Naomba ruhusa nianze na historia ya babu yangu.

Footnote No. 10 inaeleza historia ya babu yangu Salum Abdallah alivyooongoza mgomo wa nchi nzima wa mwaka 1947 ulioanza na mgomo wa wafanyakazi wa reli Tabora.

Huu ndiyo ulikuwa mwaka babu yangu alipohamia Tabora kwa uhamisho wa karakana kuu ya reli ilipotolewa Dar-es-Salaam na kupelekwa Tabora.

Babu yangu aliuza nyumba yake Mtaa wa Mbaruku na hakurudi tena Dar-es-Salaam.

Nyumba hii ilikuwa jirani na nyumba ya Aziz Ali kabla Aziz Ali hajahamia Mtoni alikojenga nyumba ya fahari ya vigae na vioo.

Wakati ule hakuna Mwafrika aliyekuwa na nyumba kama ile.

Salum Abdallah alikuwa mmoja wa waasisi wa TANU Tabora 1954 na Tanganyika Railways African Union (TRAU) 1955.

Aliongoza mgomo wa railway wa 1949 na mgomo wa 1960.

Sasa tutazame hizi Nyaraka za Sykes katika "In Praise of Ancestors," makala iliyozua taharuki.

Katika rejea kutoka Nyaraka za Sykes foot note no. 16 kuna barua ya Julius Nyerere ya tarehe 10 August, 1953 anamwandikia Gavana Edward Twining.

Kwa mara yangu ya kwanza kuiona saini ya Mwalimu Nyerere nje ya saini yake kwenye noti nimeiona kwenye hizi Nyaraka za Sykes.

Lakini nilikuwa nasisimkwa na mwili pamoja na akili pale Ally Sykes alipokuwa akinieleza mazingira yaliyopelekea kuandikwa kwa barua fulani.

Kitendawili nilichokutananacho kilikuwa rasimu ya katiba ya TANU.

Katiba hii iliyeyuka kama moshi.

Haipo kwenye Nyaraka za Sykes wala Maktaba ya CCM Dodoma.

Katika Maktaba ya CCM nilionyeshwa majalada mengi lakini karibuni yote kulikuwa na nyaraka zilizonyofolewa.

Nilibahatika kuliona jalada la Hamza Mwapachu na jalada la Abdul Sykes.

Majalada yote haya hayakuwa na hata karatasi moja ndani.

Nilipata tabu sana na mhariri wangu wa kitabu cha Abdul Sykes alipokuwa anaupitia mswada kwa ajili ya kuchapa kitabu.

Mimi nilikuwa nimeandika nyaraka zimeibiwa yeye akinitahadharisha kuhusu neno hilo la kuibiwa akiniambia linaweza kusababisha matatizo tukashitakiwa.
 
Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis
 
NYARAKA ZA SYKES ZINAVYOELEZA HARAKATI ZA KUDAI UHURU NA HISTORIA YA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE

Naomba ruhusa nianze na historia ya babu yangu.

Footnote No. 10 inaeleza historia ya babu yangu Salum Abdallah alivyooongoza mgomo wa nchi nzima wa mwaka 1947 ulioanza na mgomo wa wafanyakazi wa reli Tabora.

Huu ndiyo ulikuwa mwaka babu yangu alipohamia Tabora kwa uhamisho wa karakana kuu ya reli ilipotolewa Dar-es-Salaam na kupelekwa Tabora.

Babu yangu aliuza nyumba yake Mtaa wa Mbaruku na hakurudi tena Dar-es-Salaam.

Nyumba hii ilikuwa jirani na nyumba ya Aziz Ali kabla Aziz Ali hajahamia Mtoni alikojenga nyumba ya fahari ya vigae na vioo.

Wakati ule hakuna Mwafrika aliyekuwa na nyumba kama ile.

Salum Abdallah alikuwa mmoja wa waasisi wa TANU Tabora 1954 na Tanganyika Railways African Union (TRAU) 1955.

Aliongoza mgomo wa railway wa 1949 na mgomo wa 1960.

Sasa tutazame hizi Nyaraka za Sykes katika "In Praise of Ancestors," makala iliyozua taharuki.

Katika rejea kutoka Nyaraka za Sykes foot note no. 16 kuna barua ya Julius Nyerere ya tarehe 10 August, 1953 anamwandikia Gavana Edward Twining.

Kwa mara yangu ya kwanza kuiona saini ya Mwalimu Nyerere nje ya saini yake kwenye noti nimeiona kwenye hizi Nyaraka za Sykes.

Lakini nilikuwa nasisimkwa na mwili pamoja na akili pale Ally Sykes alipokuwa akinieleza mazingira yaliyopelekea kuandikwa kwa barua fulani.

Kitendawili nilichokutananacho kilikuwa rasimu ya katiba ya TANU.

Katiba hii iliyeyuka kama moshi.

Haipo kwenye Nyaraka za Sykes wala Maktaba ya CCM Dodoma.

Katika Maktaba ya CCM nilionyeshwa majalada mengi lakini karibuni yote kulikuwa na nyaraka zilizonyofolewa.

Nilibahatika kuliona jalada la Hamza Mwapachu na jalada la Abdul Sykes.

Majalada yote haya hayakuwa na hata karatasi moja ndani.

Nilipata tabu sana na mhariri wangu wa kitabu cha Abdul Sykes alipokuwa anaupitia mswada kwa ajili ya kuchapa kitabu.

Mimi nilikuwa nimeandika nyaraka zimeibiwa yeye akinitahadharisha kuhusu neno hilo la kuibiwa akiniambia linaweza kusababisha matatizo tukashitakiwa.
Tatizo Ilikuwa ni nini, chanzo chake nini? Nia na madhumuni mfano wa hili andiko ni nini, na linamlenga msomaji yupi na mnufaika yupi, na katika muktadha ili iweje hasa kwa mazingira ya Sasa? Ninekuja na maswali yenye kukorofisha ili nijifunze kiufukunyufu zaidi.

Naomba niwasilishe 🙏
 
Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis
Labda. ni mwanazuoni mbobezi katika mlengo wa upendeleo, ubinafsi na ubaguzi, na wenye ubobezi huo hupimwa Kwa maudhui yenye kubeba uhafifu wa kuimudu emotional intelligence yao, hasa msingi wa kifikra na maarifa ukitawaliwa na DINI.
 
Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis
Mzee anaamini, ukimwondoa Julius Nyerere, Uhuru wa nchi hii umeletwa na ndugu zake.....

Sisi wa kuhoji tunashangaa ilikuwaje ndugu zake Lukuki wakamwachia Julius kuwa Rais wa nchi yetu tajiri?

Au Julius alikuwa jiniaz sana kushinda ndgizake wote?

Ama kweli CCM yajenga nchi
 
Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis
Avo...

Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis

Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis
 
Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis
Ukihitaji makala zaidi nifahamishe.
 
Tatizo Ilikuwa ni nini, chanzo chake nini? Nia na madhumuni mfano wa hili andiko ni nini, na linamlenga msomaji yupi na mnufaika yupi, na katika muktadha ili iweje hasa kwa mazingira ya Sasa? Ninekuja na maswali yenye kukorofisha ili nijifunze kiufukunyufu zaidi.

Naomba niwasilishe 🙏
Wad...
Nyakati zimebadilika sana.

Historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa yote imefutika na badala yake ikawako historia siyo.

Mwaka wa 1988 nilipoandika makala kusahihisha historia iliyokuwako ikazuka taharuki kubwa na kama nilivyoeleza magazeti yote yakakusanywa ili watu wasisome nilichoandika.

Makala ile ilinilipotea lakini kwa bahati nzuri nimeipata.

Nimeona ni vyema niiiweke upya makala hiyo ili isomwe na wale ambao hawakuwapo mwaka wa 1988.
 
Mzee anaamini, ukimwondoa Julius Nyerere, Uhuru wa nchi hii umeletwa na ndugu zake.....

Sisi wa kuhoji tunashangaa ilikuwaje ndugu zake Lukuki wakamwachia Julius kuwa Rais wa nchi yetu tajiri?

Au Julius alikuwa jiniaz sana kushinda ndgizake wote?

Ama kweli CCM yajenga nchi
Asprin,
 
Wad...
Nyakati zimebadilika sana.

Historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa yote imefutika na badala yake ikawako historia siyo.

Mwaka wa 1988 nilipoandika makala kusahihisha historia iliyokuwako ikazuka taharuki kubwa na kama nilivyoeleza magazeti yote yakakusanywa ili watu wasisome nilichoandika.

Makala ile ilinilipotea lakini kwa bahati nzuri nimeipata.

Nimeona ni vyema niiiweke upya makala hiyo ili isomwe na wale ambao hawakuwap;o mwaka wa 1988.
Tupo tunaohitaji kujua ukweli wa historia ya nchi yetu.Tupe mzee .
 
Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis
Avo...
 
Nitahitaji siku Moja utoe nakala za wakristu ambao walijitahidi kuupigania uhuru wa Tanganyika ,ama kwa kutoa vifaa, fedha au kwenda Umoja wa mataifa kama akina Mzee mbowe senior, Mangi wa wamarangu to mention but few. Sasa wewe unatoa mada za watu wa Imani Moja peke yake. Kumbuka Kila mtu alikuwa na nafasi yake katika kuupigania uhuru. Ukiwa una filter zile habari na picha za jamii Moja au Imani Moja. Jamii ambayo haikuwepo wakati huo itaamini kwamba uhuru ulipiganiwa na jamii za pwani tu na WA Imani Moja kitu ambacho ni upotoshwaji Mkuu. You are too bias on religion basis

Tupo tunaohitaji kujua ukweli wa historia ya nchi yetu.Tupe mzee .
Mako...
 
Labda. ni mwanazuoni mbobezi katika mlengo wa upendeleo, ubinafsi na ubaguzi, na wenye ubobezi huo hupimwa Kwa maudhui yenye kubeba uhafifu wa kuimudu emotional intelligence yao, hasa msingi wa kifikra na maarifa ukitawaliwa na DINI.
Wadiz...

Si ''mlengo'' ni ''mrengo.''

Ukikisoma kitabu cha Abdul Sykes hutobakia kama ulivyokuwa kabla hujakisoma.

Utakuwa unajifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika na utasoma niliyotoa katika kwanza mswada ulioandikwa na Kleist Sykes kabla hajafariki 1949.

Pili utasoma historia za wazalendo ambao wewe katika maisha yako naamini hujawasikia wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika bega kwa bega na Julius Nyerere.

Usiogope kutaja Uislam kwa kutumia neno ''dini.''
Hakika Uislam ulitawala harakati dhidi ya ukoloni.

Utasoma ilikuwaje wale walioasisi African Association 1929 waje tena kuasisi Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) mwaka wa 1933.

Ukisoma kitabu utawafahamu Kleist Sykes na Mzee bin Sudi walioongoza AA na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.

Utajua kwa nini katika waasisi wa TANU kuna ndugu wawili Abdul na Ally Sykes na kadi zao ni no. 2 Ally na no. 3 Abdulwahid Sykes na kadi no. 1 ni ya Territorial President Julius Kambarage Nyerere na aliandikiwa na Ally Sykes.

Utajua kwa nini Ally ndiye aliyechapa kwa gharama zake kadi 1000 za kwanza za TANU na pia utafahamu kwa nini wanachama wa kwanza wa TANU walitoka Rufiji na walikwenda kutafutwa na Said Chamwenyewe.

Lakini kubwa utajua kwa nini wakati wanaandika historia ya TANU Chuo Cha Kivukoni walielezwa haya yote lakini walikataa kuyatia katika kitabu chao.

Hawa waliofanya haya mimi wengine wananihusu kwa nasaba na wengine kwa ujamaa.

Baadhi nimewajua toka udogoni.

1671648145788.jpeg

1671648954328.png

Abdul Sykes aliyesimama kushoto kwa Nyerere na mwanzo kujlia ni Lawi Sijaona na kushoto mwanzo ni Dossa Aziz 1955 wakimuaga Nyerere Ukumbi wa Arnautoglo 1955.

1671649018352.png

Ally Sykes na Julius Nyerere 1958

 
Ina maana hakuna wakristo walikuwa na maisha mazuri kuliko hao? Mbona huwaandiki?
 
Ina maana hakuna wakristo walikuwa na maisha mazuri kuliko hao? Mbona huwaandiki?
Last...
Mimi naandika historia ya kupigania uhuru.

Nimejitahidi kuandika historia hii na kuwataja wote walioshiriki.

Ikiwa unacho kitabu cha Abdul Sykes angalia faharasha (index) utayakuta majina yote.
 
Last...
Mimi naandika historia ya kupigania uhuru.

Nimejitahidi kuandika historia hii na kuwataja wote walioshiriki.

Ikiwa unacho kitabu cha Abdul Sykes angalia faharasha (index) utayakuta majina yote.
Kwanini hao watu usiwataje unawaweka kwenye index
 
Back
Top Bottom