mtoto wa maskini
JF-Expert Member
- Jun 28, 2013
- 1,152
- 637
FIFA utoa kila mwaka $500k kwa Tanzania na wakufunzi wa makocha/marefa.
Safari hii wametoa pamoja na nyasi za bandia cha ajabu nyasi eti zimekwama bandarini kwa ushuru eheee ivi tumerogwa? Yani tunashindwa kujisaidia sisi wenyewe kwa kuondoa VAT?
Yani vitu vya maana na vinavyogusa jamii kubwa tunajifanya kukomaa na VAT ila vitu vya kifala mnaacha VAT duh au mpaka muongwe?
Pole Tanzania yangu maana utaendelea kuwa kichwa cha mwenda wazimu!
Safari hii wametoa pamoja na nyasi za bandia cha ajabu nyasi eti zimekwama bandarini kwa ushuru eheee ivi tumerogwa? Yani tunashindwa kujisaidia sisi wenyewe kwa kuondoa VAT?
Yani vitu vya maana na vinavyogusa jamii kubwa tunajifanya kukomaa na VAT ila vitu vya kifala mnaacha VAT duh au mpaka muongwe?
Pole Tanzania yangu maana utaendelea kuwa kichwa cha mwenda wazimu!