Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #21
Wewe mwenyewe nahisi hukuwepo, labda kakusimulia Ngabu Senior lol.
Hahahaha! Ulikuwepo au ulisimliwa?...eti miaka ya 70 lol.
Pole sana mgeni, karibu jf! Jisikie upo nyumbani. Unamjua Nyau jambazi?Yaani kuwa nyu memba shida, watu wanakupita tu kama hawakuoni lol
Nimechoka kuwa lonenly, natafuta mke wa kusredi naye.
Labda hata mtu akifa inakuwa hivi, anawafuata ndugu zake yeye anawaona kumbe wenyewe hawamuoni. akiwasemesha wanampita tu.
Mmmmh, shida sana
Yaani kuwa nyu memba shida, watu wanakupita tu kama hawakuoni lol
Nimechoka kuwa lonenly, natafuta mke wa kusredi naye.
Labda hata mtu akifa inakuwa hivi, anawafuata ndugu zake yeye anawaona kumbe wenyewe hawamuoni. akiwasemesha wanampita tu.
Mmmmh, shida sana
Asante dada yangu, afadhali, kidogo nilog offPole sana mgeni, karibu jf! Jisikie upo nyumbani. Unamjua Nyau jambazi?
welkam nyu memba.
Asante dada Mwaju, nimekaribia.
Hapa bado kuzaliwa!....Sweetlady unaleta maskhara wewe. Mi mwaka 1981 nilikuwa jeshini Oljoro....wewe mwaka huo ulikuwa wapi?
Asante dada Mwaju, nimekaribia.
Kheeee weee umejuaje anaitwa Mwajei?
Hahahaha! Mie pia nimekula nyingi swahiba...ila bado sijaanza kuziyeyusha!swahiba watu tumekula chumvi za kutosha sahivi tunaziyeyusha na maji.
Huyu wala sio mgeni, atakuwa mwenyeji alielambwa ban akaja kivingine..Kheeee weee umejuaje anaitwa Mwajei?
Hahahaha! Mie pia nimekula nyingi swahiba...ila bado sijaanza kuziyeyusha!
Hahahaha! Mie pia nimekula nyingi swahiba...ila bado sijaanza kuziyeyusha!
Pole sana mgeni, karibu jf! Jisikie upo nyumbani. Unamjua Nyau jambazi?
Huyu wala sio mgeni, atakuwa mwenyeji alielambwa ban akaja kivingine..
Shosti.. Humjui jambazi nyau wewe?
nae kalambwa ban angejipumzikia zake. Mi natamani ban nipumzike. Lol
Nitukane uone...
Kheeee weee umejuaje anaitwa Mwajei?
Sl niko chini ya miguu yako:gossip: nitakufuata chumbani tuongee.Huyu wala sio mgeni, atakuwa mwenyeji alielambwa ban akaja kivingine..
Hahahaha! Uwiii mgeni anamjua nitonye jamani?Umekula koni nyingi? Hadi unaziyeyusha? No wonder nitonye kapotea.
au anauguza kidonda?