Nyau

Nyau alikuwa na Rafiki yake anaitwa Julius...na Mark Charles...au vipi..Nyani Ngabu?
 
Daah! Umenikumbusha mbali sana. Nilikuwa STD 6 - 7 enzi hizo. "Nyau" was the real deal as far as "gangsters" went back then. Classmate wangu fulani alikuwa mbabe sana wa kuzipiga aka "gangwe" kwa slang ya wakati huo, na tulimpachika jina la "Nyau". Dude could kick serious ass, even bullies way older than him from higher up classes used to respect him.
 
Kwenye miaka ya 80 kulikuwepo jambazi lililokuwa linaitwa Nyau.

Mnalikumbuka hili jambazi? Sasa hivi liko wapi?

NB: Sweetlady huwezi kulijua hili li Nyau. Wewe bado ulikuwa ka baby.

tehetehetehe nyau ngabu jambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…