Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
- Thread starter
-
- #21
Maneno mengine nikiyasikia naona Aibu mie ivooo....
Hapa umesikia kitu gani ,sijaona clip labda ya utube au nyingine,naona itakuwa unachanganyikiwa ukisoma maneno mengine ,na ukiwa hivyo utakuwa hupati elimu,hii elimu inafundishwa hata mashuleni ,huko ulaya ,hapa ilivuma sijui kama wanafundishwa kuna fil inaitwa SEX ED (ED=Educationa). Ni very nzuri filamu,mwanzo hutaielewa utaona huyo jamaa aliepata kazi ya ualimu kama anapotosha watoto,na wazazi wa eneo wakaanza kumpiga vita,ila wanafunzi walielimika na kuwa na ufahamu wa hali ya juu ,kiasi mmoja ,maana kiliwekwa kikao ,kati ya walimu,wazazi na meya wa mji ambae mtoto wake alikuwemo katika darasa hilo,kikao kilimbana mwalimu na kumfukuza ,ila wanafunzi walijitokeza na kumtetea mwalimu wao ,mtoto wa meya alimuuliza baba yake mbele ya kikao kuwa masuali na elimu tunayoipata ,masuali yake ni singeweza kukuuliza wewe ,msichana mmoja akanyanyuka akisema sasa najua umuhimu wa mwananmme kuvaa condomu ni mengi. Sasa Usione aibu ,kama unajua tueleze,kwani masuala mengi huwezi kwenda kuuliza nyumbani ,kumuuliza mama au baba,kaka au dada ila hapa jione upo huru ,okay,utafaidika tu,try to differentiate kati ya sense na non-sense haswa saa hizi za walevi..unaweza kuiona filamu kwenye URL biloo ,ila itakubidi uclick kama mara tatu eu nne mqisho itaplei ,kutokana na ad ila tumia adblocker .